JKT Tanzania yaomba radhi, yampa pole Pacome Timu ya JKT Tanzania imeomba radhi na kumpa pole mchezaji wa Yanga, Pacome Zouzoua aliyeeshindwa kuendelea na mchezo wa Ligi Kuu baada yay a kufanyiwa rafu mbaya na mchwezaji Hasan Wahabi.
Mipira ya kurusha na maajabu yake WAKATI ikiwa ni siku ya tatu ya mechi za mtoano za hatua ya 32 bora ya Kombe la Dunia 2026, ulimwengu wa soka umeshuhudia mabadiliko kibao katika soka ambayo yamegeuka mjadala katika vijiwe vya...
Shields ashuka uzani kumkabili Scott BINGWA wa dunia wa uzani wa Heavyweight Claressa Shields atashuka madaraja matatu ya uzani kupambana na bingwa wa uzani wa kati anayeshikilia mikanda ya WBC na WBA Kaye Scott katika pambano...
Kuna jambo Morocco inayoendelea ilipoishia Kocha mpya Mohamed Ouahbi, ameendelea kusimamia maendeleo ya Morocco katika Kombe la Dunia, huku falsafa yake ya wazi na matumizi ya vipaji kutoka diaspora ikiweka msingi wa uwezekano wa kubadili...
Ni fainali za Antonela na Georgina KULE Marekani ndiko waliko Cristiano Ronaldo na Lionel Messi wakiziwakilisha nchi zoa katika fainali za Kombe la Dunia 2026, huku wakiwa na ndoto kubwa za kuvunja rekodi fulani katika historia ya...
Mbappe aipeleka Ufaransa 16 bora TIMU ya taifa ya Ufaransa imekata tiketi ya kucheza hatua ya 16 bora ya Kombe la Dunia, baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-0, dhidi ya Sweden, huku nyota wa kikosi hicho, Kylian Mbappe...
Rashford uso kwa uso na rafikiye wa utotoni MARAFIKI wa tangu utotoni, Marcus Rashford na Axel Tuanzebe wanatarajiwa kukutana katika mechi ya Kombe la Dunia itakayozikutanisha England na DR Congo katika hatua ya 32 bora ya Kombe la Dunia...
Nini kinachofuata Usyk kuachia mikanda matatu? BINGWA wa ngumi za uzito wa juu, Oleksandr Usyk ametangaza kuachia mataji yote matatu ya dunia aliyokuwa anayamiliki ya WBC, WBA na IBF, lakini amesisitiza hajaamua kustaafu mchezo huo.
Arsenal yapoteza mtu nyuma ya Mikel Arteta KUNA mabadiliko mengine ya kiutendaji nyuma ya pazia katika timu ya Arsenal, huku msimu wa majira ya kiangazi wa kuondoka kwa baadhi ya wafanyakazi ukiendelea.
Enzo Maresca aanza na pigo Man City JANA, siku ambayo alitangazwa kuwa kocha mpya wa Manchester City, Enzo Maresca, alianza kwa kupokea habari mbaya kuhusu kikosi chake ikielezwa kwamba kiungo na mshindi wa Ballon d’Or 2024...