Mikakati mipya ya Pep Baryen ni kupiga pasi nyingi TOLEO lililopita kwenye kitabu cha Pep Confidential, mwandishi Marti Perarnau aliendelea na mazungumzo yake na Kocha Pep Guardiola ambaye alifunguka kuhusu mikakati yake kwa msimu wake wa...
ANATISHA: Umakini wa kipa Neuer wampagawisha Guardiola TOLEO lililopita kwenye kitabu cha Pep Confidential, mwandishi, Marti Perarnau aliyachambua mafanikio ambayo Pep Guardiola, alianza kuyapata kwa wachezaji kucheza alivyowaelekeza hadi kupata...
Ronaldo alilala kitandani na mpira-5 TOLEO lililopita mwandishi, Luca Caioli aligusia mazingira yalivyokuwa wakati Messi na Ronaldo wanazaliwa jinsi ujauzito wa Messi ulivyoibua hofu kwa baba yake na jinsi mimba ya Ronaldo...
Makuzi ya mtaani kwa Lionel Messi na Ronaldo hayakupishana KATIKA toleo lililopita mwandishi, Luca Caioli alimzungumzia namna kipaji cha Messi kilivyoanza kuonekana ingawa kwa wakati huo alipenda zaidi kuchezea gololi na mara chache mpira hadi...
Messi,Suarez na Neymar ilipoichapa juve ya kina Pogba KATIKA toleo lililopita, mwandishi, Luca Caioli aliichambua mechi ya fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kati ya Barca na Juventus ya msimu wa 2014/15. Sasa endelea…
Messi vs Ronaldo : Siku ya kuzaliwa kwa Messi yawa gumzo KATIKA toleo lililopita, mwandishi, Luca Caioli alionyesha jinsi ambavyo Ronaldo yuko juu kwenye mitandao na wakati mwingine kuizidi klabu aliyoikuwa akiichezea Real Madrid kwenye Facebook.
Messi vs Ronaldo : Ronaldo aifunika hadi Real Madrid kwenye Facebook KATIKA toleo lililopita, mwandishi, Luca Caioli alielezea jinsi mchuano wa mastaa ulivyo katika mitandao ya kijamii akionyesha namna Cristiano Ronaldo alivyo mbali katika eneo hilo hadi...
Messi vs Ronaldo : Messi, baba yake kortini kwa kukwepa kodi KATIKA toleo lililopita, mwandishi, Luca Caioli alielezea namna hali ilivyokuwa kwa Messi katika siku zake za mwanzo mwanzo Barcelona alivyopata tabu kuendana na maisha mapya ikiwamo mdogo...
Messi vs Ronaldo : Messi abadili uamuzi, aichezea Argentina TOLEO lililopita, mwandishi, Luca Caioli alielezea tukio la Messi kukata tamaa kuichezea timu ya Taifa ya Argentina baada ya kushindwa kuibeba timu hiyo na hatimaye kutangaza kujiuzulu...
Emery awachunia mastaa wake ASIKWAMBIE mtu, kufungwa kunauma. Tena kufungwa kwenye fainali? Muulize Unai Emery atakwambia.