Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

7859 results for Mwandishi Wetu :

  1. ‎Ancelotti asaini minne Brazil, afichua jambo ‎

    Shirikisho la Kandanda la Brazil (CBF) limetangaza kuwa kocha mkuu wa timu ya taifa hilo, Carlo Ancelotti amesaini mkataba mpya wa miaka minne utakaodumu hadi Julai 2030.

    CARLO Pict
  2. ‎Neuer atajwa kikosi cha awali Ujerumani Kombe la Dunia

    ‎Kipa nguli wa Bayern Munich, Manuel Neuer anaripotiwa kuwa mbioni kukatisha kustaafu kwake ili kurejea kuitumikia timu ya taifa ya Ujerumani katika michuano ya Kombe la Dunia.

    NUER Pict
  3. Iran hatarini kukosa Kombe la Dunia 2026

    Mkuu wa Shirikisho la Soka la Iran, Mehdi Taj, ametangaza kuwa hadi sasa hakuna kibali cha kuingia nchini Marekani (visa) hata kimoja kilichotolewa na serikali ya nchi hiyo kwa ajili ya timu ya...

    IRAN Pict
  4. Fainali Kombe la Dunia kunogeshwa na hawa

    ORODHA ya mastaa watakaotumbuiza katika mechi ya fainali ya Kombe la Dunia 2026 imetajwa rasmi, huku ikijumuisha baadhi ya wasanii wakubwa duniani pamoja na waigizaji maarufu wa kipindi cha...

    DUNIA Pict
  5. Mwenendo wa Spurs wamwibua Daniel Levy

    ALIYEKUWA mwenyekiti wa Tottenham Hotspurs, Daniel Levy, amezungumza hadharani kwa mara ya kwanza kuhusu klabu hiyo tangu alipoondolewa madarakani Septemba mwaka jana baada ya kudumu kwa zaidi ya...

    LEVY Pict
  6. Fadhili Majiha avuliwa mkanda wa WBC

    Uamuzi huo ulithibitishwa na Makamu wa Rais wa WBC, Houcine Houichi, ambaye alisema baraza hilo lilifanya jitihada mbalimbali kuwasiliana na menejimenti ya bondia huyo kabla ya kuchukua hatua hiyo.

  7. Bayern yakaribia kumaliza kazi dili la Anthony Gordon

    BAYERN Munich wamefikia makubaliano binafsi, Anthony Gordon, 25, na sasa wameanza mazungumzo na rasmi na Newcastle United kujua ada ya uhamisho inayohitajika ili kuipata saini ya staa huyo.

    FUNUNU Pict
  8. Arsenal yaanza 'kutetemeka' kileleni EPL

    VITA ya ubingwa wa Ligi Kuu England (EPL) msimu wa 2025-2026 imefikia hatua ya mwisho ambapo Arsenal na Manchester City sasa zimetenganishwa kwa tofauti ya pointi mbili huku zikiwa zimesalia...

    UBINGWA Pict
  9. Waarabu wafanya kufuru kwa Lewandowski

    MSHAMBULIAJI mkongwe wa Barcelona, Robert Lewandowski, anakaribia kuachana na klabu hiyo katika dirisha lijalo na kujiunga na Al-Hilal kutoka Ligi Kuu ya Saudi Arabia.

    LEWANDO Pict
  10. Kombe la Dunia kuwa na 'half-time show'

    SHIRIKISHO la Soka Duniani (FIFA) limetangaza mpango wa kuwa na onyesho la mapumziko (halftime show) kwa mara ya kwanza kabisa katika fainali ya Kombe la Dunia 2026, litakalofanyika katika Uwanja...

    SHAKIRA Pict
Previous

Page 50 of 786

Next