Gary Neville ashtushwa na taarifa za kuondoka kwa Guardiola Habari za ghafla kuhusu kuondoka kwa kocha wa Manchester City, Pep Guardiola zimegonga vichwa vya habari na kumshtua mchambuzi wa soka Gary Neville, huku zikitokea katikati ya mchezo wa Arsenal...
Enzo Maresca kupokea kijiti cha Pep Guardiola Man City Manchester City inajiandaa kumtangaza kocha wa zamani wa Chelsea, Enzo Maresca, kama mrithi wa Pep Guardiola ambaye anaripotiwa kufikia uamuzi wa kuondoka klabuni hapo mwishoni mwa msimu huu...
Luka Modrić kuiongoza Croatia Kombe la Dunia 2026 Nahodha na kiungo Luka Modrić amejumuishwa katika kikosi cha timu ya taifa ya Croatia kitakachoshiriki michuano ya Kombe la Dunia 2026.
Nchi za COSAFA zaomba uenyeji AFCON 2028 Nchi za Kusini mwa Afrika (Botswana, Afrika Kusini, Namibia, na Zimbabwe) zimewasilisha ombi la pamoja la kutaka kuwa wenyeji wa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2028.
Mambo 10 yakuvutia Kombe la Dunia 2026 Ilikuwa miaka, miezi na sasa zimebaki siku 24, kabla ya kuanza kwa fainali za Kombe la Dunia 2026, tayari presha inapanda kila kona nini kitakwenda kutokea katika mashindano hayo yanaliyoandaliwa...
Umri ni namba tu, Kombe la Dunia 2026 YAOUNDE, CAMEROON: WAKATI dunia ikisubiri kwa hamu kuanza kwa fainali za Kombe la Dunia 2026, Mwanaspoti linaendelea kuhesabu siku kuelekea mashindano hayo kwa kuangazia rekodi mbalimbali...
Baada ya miaka 13 mwamba anarejea Real Madrid KOCHA maarufu raia wa Ureno, Jose Mourinho, amekubali kurejea kuinoa Real Madrid baada ya miaka 13 tangu kuondoka kwake kwa mazingira yaliyogubikwa na migogoro ndani ya klabu hiyo.
Wafungaji bora wa kila timu katika EPL TANGU Ligi Kuu England ianzishwe msimu wa 1992/93, timu 51 tofauti zimecheza kwenye ligi hiyo.
Arsenal yashinda yakaribia ubingwa EPL Bao pekee alilofunga na Kai Havertz limetosha kuipa pointi tatu muhimu Klabu ya Arsenal ambayo imebakiza mechi moja kumaliza msimu wa Ligi Kuu England wa 2025/2026.
Neymar 'apeta' kikosi cha Brazil Kombe la Dunia Kocha wa timu ya taifa ya Brazil Carlo Ancelotti amemtaja Neymar kwenye kikosi cha wachezaji 26 watakaoiwakilisha Brazil kwenye fainali za Kombe la Dunia 2026.