Harry Kane ataja wabaya wa England ENGLAND haijashinda Kombe la Dunia la FIFA katika kipindi cha miaka 60 iliyopita. Mara yao ya kwanza na mwisho kutwaa taji hilo ilikuwa mwaka 1966 walipokuwa wenyeji wa mashindano hayo.
Huyu ndiye Julian Quinones Kiboko ya Ronaldo MSHAMBULIAJI wa Mexico, Julian Quinones ameweka rekodi baada ya kufunga bao la kwanza katika fainali za Kombe la Dunia 2026 wakati wenyeji hao wakicheza dhidi ya Afrika Kusini katika mchezo wa...
Saba wajinyakulia zawadi kampeni ya MIXX Kombe la Dunia WAKATI hamasa ya michuano ya Kombe la Dunia ikiendelea kushika kasi huku mataifa mbalimbali yakitangaza vikosi vyao vya mwisho neema imeendelea kuwa upande wa wadau na mashabiki wa soka nchini.
KMC rasmi imeshuka daraja baada ya misimu nane Ligi Kuu Klabu ya Soka ya Manispaa ya Kinondoni (KMC FC) imeshuka rasmi daraja na itashiriki Ligi ya Champion-ship msimu ujao baada ya kudumu kwa misimu minane mfululizo katika Ligi Kuu Tanzania Bara.
Messi atakuwepo Kombe la Dunia 2030 Timu ya taifa ya Argentina ilianza vyema utetezi wa taji lake la Kombe la Dunia la mwaka 2022 lililoshinda nchini Qatar, baada ya Lionel Messi kufunga mabao matatu (hat-trick) dhidi ya Algeria...
“Cristiano hana nafasi kwenye meza moja na Maradona, Pele na Messi” Mjadala kuhusu nani ni mchezaji bora zaidi kati ya Lionel Messi na Cristiano Ronaldo umeendelea kuwagawa mashabiki wa soka duniani kwa zaidi ya miaka 15.
Pambano la Fury, Joshua lazua utata PROMOTA wa bondia Anthony Joshua, Eddie Hearn amesema pambano kubwa linalosubiriwa kwa hamu kati ya Anthony Joshua na Tyson Fury limepangwa kufanyika Uingereza na litahamishiwa Marekani ikiwa...
Mauricio Pochettino afunguka hatma yake KOCHA mkuu wa timu ya taifa ya Marekani, Mauricio Pochettino, amesema atachukua muda wa kupumzika baada ya kumalizika kwa kampeni ya Kombe la Dunia kabla ya kufanya uamuzi kuhusu mustakabali wake.