Kombe la Dunia 2026: Marekani yajiandaa na tishio la magonjwa ya mlipuko Serikali ya Marekani imeanza maandalizi makubwa ya kukabiliana na uwezekano wa kuingia kwa milipuko ya magonjwa hatari wakati wa michuano ya Kombe la Dunia 2026.
Bilionea wa Qatar aipotezea Man United KUNDI la wawekezaji kutoka Qatar ambalo hapo awali lilishindwa kuinunua klabu ya Manchester United halijawasiliana maombi mengine kuhusu uwezekano wa kuinunua klabu hiyo, licha ya ripoti...
Kane atajwa tuzo Ballon d’Or Kazi ya mwisho ya mshambuliaji Harry Kane katika msimu bora zaidi wa maisha yake ya soka ni kuingoza timu ya taifa ya England kwenye Kombe la Dunia iwapo atafanikiwa kutwaa taji hilo hakuna shaka...
Van Persie atimuliwa Feyenoord FEYENOORD imeachana rasmi na kocha wake, Robin van Persie baada ya miezi 16 pekee ya kuitumikia timu hiyo, uamuzi ambao umezua mjadala mkubwa ndani na nje ya soka la Uholanzi.
Uwanja mpya Man United usipime Manchester United wamepiga hatua muhimu katika mpango wao wa kujenga uwanja mpya wa kisasa wenye uwezo wa kuchukua mashabiki 100,000 baada ya kupata ekari 25 za ardhi katika eneo la Trafford Park.
KMC yapata pointi baada ya siku 70 WABURUZA mkia katika msimamo wa Ligi Kuu Bara, KMC, hali yao sio nzuri huku wakiendelea kupambana kuepuka kushuka daraja.
Onyo kwa Trent ujio wa Dumfries Madrid BAADA ya kumalizika kwa msimu wa Ligi Kuu England ambao hakuwa mzuri sana kwake, Trent Alexander-Arnold atalazimika kuboresha zaidi kiwango msimu ujao ikiwa anataka kumshawishi kocha mpya, Jose...
Gordon kutibua utawala wa Yamal Barca LAMINE Yamal alikuwa mchezaji wa Barcelona aliyepiga penalti nyingi zaidi katika msimu wa 2025-26, ambapo alifanya hivyo mara saba katika mashindano yote, ikiwa ni mbili zaidi ya Raphinha. Hata...
James Harden akamatwa Houston NYOTA wa NBA, James Harden ameanza kipindi cha mapumziko ya msimu akiwa na changamoto mpya nje ya uwanja baada ya kukamatwa mapema Jumamosi mjini Houston na kushtakiwa kwa kosa la kubeba silaha...
Liverpool, Arsenal zamtolea macho Barcola KLABU za Liverpool na Arsenal zimeaanza kupigana vikumbo kuwania saini ya nyota wa Paris Saint-Germain, Bradley Barcola.