Stand United, Bilo damudamu Kocha huyo amekuwa na timu hiyo kwa zaidi ya misimu miwili kabla ya kusimamisha mwishoni mwa mwaka jana
Man United wapo siriazi kwa De Ligt MANCHESTER United wanaripotiwa kwamba bado hawajafuta mpango wao wa kumsajili beki wa kati wa Ajax, Matthijs de Ligt.
Manchester United yajitosa kwa Mandzukic kuzipa pengo la Lukaku Zikiwa zimebaki saa chache kabla ya kufungwa kwa dirisha la usajili nchini England, Manchester United wako mbioni kumsajili Mario Mandzukic kuziba pengo la Romelu Lukaku.
Bondia Joshua aingizwa mtegoni Bondia Gennady Golovkin raia wa Kazakhstani amesema baada ya kumshinda Canelo Alvarez raia wa Mexico sasa atapanda uzito ili acheze na Anthony Joshua katika uzani wa juu.
Mtoto aamini P Diddy ataachiwa kabla ya X-Mass KING Combs, mtoto wa kiume wa Rapa na Mfanyabiashara maarufu duniani, Sean ‘Diddy’ Combs amesema anaamini baba yake anaweza kuachiwa mapema kutoka gerezani kabla ya msimu wa Krismasi.
Gwiji Manchester United awachana madogo janja NGULI wa zamani wa klabu ya Manchester United na timu ya taifa ya England, Bryan Robson, amewachana wachezaji chipukizi akiwataka kuwa makini na matumizi yao ya fedha ili kuepuka ‘stresi’ baada...
Gavi amerudi mzigoni KOCHA wa FC Barcelona, Hansi Flick amesema kiungo wake Gavi yuko tayari kurejea uwanjani baada ya kukaa nje kwa muda mrefu kutokana na majeraha.
Nigeria yashika namba tatu Afcon 2025 NIGERIA imethibitisha nafasi yake ya tatu katika Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 baada ya kuibuka na ushindi wa mikwaju ya penalti 4-2 dhidi ya Misri.
TFF yaufungia Uwanja wa KMC kwa kukosa vigezo vya kikanuni Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania, TFF limeufungia uwanja wa KMC kutumika kwenye mechi kutokana na kukosa vigezo vya kikanuni na sheria za mpira wa miguu
Msanii wa Bongo Fleva Spack, afariki dunia Msanii wa Bongo Fleva, Selemani Mvamba maarufu kama Spack, amefariki dunia leo Aprili 27, 2026 nyumbani kwake Chanika jijini Dar es Salaam.