Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

166 results for Aisha Mbuma :

  1. Yanga yatinga tano bora Caf, Diarra achomolewa

    Bado wapo wapo sana tuzo za CAF 2023. Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara na washindi wa pili wa Kombe la Shirikisho Afrika msimu uliopita Yanga SC ni miongoni mwa timu tano zilizotinga kuwania...

  2. PRIME Singida Fountain Gate yafungiwa kusajili

    Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imetoa taarifa ya kufungiwa kusajili wachezaji kwa klabu ya Singida Big Stars inayoshiriki Ligi Kuu baada ya Nicholas Gyan kufungua kesi ya madai dhidi...

  3. Makocha walioipa ubingwa Simba waibukia Botswana

    KOCHA wa zamani wa makipa wa Simba na Yanga, Milton Nienov ameungana na kocha Didier Gomes da Rosa aliyewahi kuinoa Simba kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Botswana. Milton ambaye alikuwa na Da...

  4. Kipigo cha Yanga kwa Simba chatua bungeni

    Sakata la rushwa kwenye michezo limezua mzozo bungeni leo Jijini Dodoma na mchezo wa wa Kariakoo Dabi iliyochezwa Jumapili Novemba 5, 2023 katika Uwanja wa Mkapa kuhusishwa kuwa na viashiria...

  5. Kipigo cha Yanga, chatimua makocha Simba

    Saa chache tu tangu ipokee kipigo cha mabao 5-1 kutoka kwa Yanga, mabosi wa klabu ya Simba leo Novemba 7 imefikia makubaliano ya kuachana na Kocha Roberto Oliveira 'Robertinho' na kocha wa viungo...

    New Content Item (1)
  6. Mchekeshaji Mr Ibu akatwa mguu kuokoa maisha yake

    Mchekeshaji nguli wa Nigeria, John Okafor ‘Mr IBU’ amekatwa mguu jana baada ya kufanyiwa upasuaji mara saba na sasa amelazwa katika chumba cha wagonjwa mahututi 'ICU'. Taarifa iliyopostiwa na...

  7. FIFA yaifungia Tabora United kusajili wachezaji

    Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imetoa taarifa ya kufungiwa kusajili wachezaji kwa klabu ya Tabora United (Kitayosce) inayoshiriki Ligi Kuu baada ya Evariste Mutambay Kayembe kuhinda...

    New Content Item (1)
  8. Gamondi afichua siri ya mavitu matamu Yanga

    Kocha Mkuu wa Yanga Miguel Gamondi kupitia akaunti yake ya Instagram baada ya mechi ya ‘Kariakoo Derby’ ataja mambo manne yanayoibeba tmu hiyo na yaliyowapa ushindi jana Kariakoo Dabi. Gamondi...

  9. Wydad yanusa ubingwa AFL

    Wydad Casablanca imenusa ubingwa wa African Football League ba,ada ya kuichapa Mamelodi Sundowns mabao 2-1 jana katika Uwanja wa Mohamed V nchini Morocco. Mabao ya Wydad yamefungwa na Rivaldo...

  10. JKT Queens yaanza vibaya CAF

    WAWAKILISHI wa Tanzania katika Ligi ya Mabingwa ya Wanawake JKT Tanzania imeanza vibaya michuano hiyo baada ya kupokea kichapo cha mabao 2-0 dhidi ya Mamelodi Sundowns kwenye mchezo wa kwanza wa...

Previous

Page 5 of 17

Next