Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Wydad yanusa ubingwa AFL

Wydad Casablanca imenusa ubingwa wa African Football League ba,ada ya kuichapa Mamelodi Sundowns mabao 2-1 jana katika Uwanja wa Mohamed V nchini Morocco.

Mabao ya Wydad yamefungwa na Rivaldo Coetzee dakika ya 41 na kipindi cha pili lilifungawa na Anas Serrhat huku Mamelodi wakipata bao dakika ya 74 na Abdelmounaim Boutouil.

Mechi ya marudiano itaamua bingwa wa kwanza AFL Novemba 12 katika dimba la Lucas Masterpieces Moripe, Afrika Kusini.

Mamelodi inakisasi na  Wydad baada ya kutolewa kwenye nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa msimu uliopita  ambapo  Wydad Casablanca ya Morocco iliyomuondosha katika mashindano hayo kwa mabao ya ugenini.