USAJILI MPYA SIMBA NOMA SIMBA sasa imetega macho yake katika tiketi mbili za mashindano ya kimataifa ambazo zipo mbele yao na ikitokea tu wakajihakikishia ushiriki wa mashindano hayo, watafanya usajili kabambe.
VIDEO: Taifa Stars yaichapa Burundi Taifa Stars imeendeleza makali yake chini ya kocha Salum Mayanga baada ya kuifunga Burundi kwa mabao 2-1 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Simba kugongwa 2-0? Haiwezekani! ACHANA na Amissi Tambwe kuonekana ndiye mchezaji anayeiliza Simba katika miaka ya karibuni, lakini ukweli ni kwamba Simba haijawahi kushinda mechi yoyote dhidi ya Yanga katika pambano...
Yanga yala vichwa simba KAMA usajili wa Simba ukikamilika freshi kwenye siku ya mwisho leo Alhamisi, inamaanisha kuwa inaweza kuwa na mabadiliko ya wachezaji wanne hadi watano katika kikosi cha kwanza kilichocheza dhidi...
Simba yamshushia Mkude Mido Mghana SIMBA jana ilitarajia kushusha kiungo mkabaji kutoka Ghana, James Agyekhum Kotei kwa ajili ya mazungumzo ya mwisho na kumpa mkataba. Kiungo huyo maarufu kama Lampard nchini Ghana lazima ameletwa...
JICHO LA MWEWE: Yanga wanajitekenya na kucheka wenyewe WATU wengine wanalipwa mabilioni ya pesa kwa ajili ya kutoa ushauri tu. Watu wengine tunashauri burebure tu, hatulipwi. Na leo naweza kufanya kazi nyigine ya bure ya kumshauri kocha aliyefukuzwa...
Hata Rais Trump atamuonea huruma Mkwasa DONALD Trump. Mtu mmoja mwenye roho ya chuma. Mtu mmoja mwenye moyo wa uvumilivu na asiyekata tamaa. Akitaka kitu lazima akipate. Ameutaka urais wa Marekani na akaupata, licha ya kukatishwa tamaa...
WABISHI: Wazawa walioamua kukomaa NANI alikuwa akijua kuwa mgombea wa Republican, Donald Trump angeshinda kiti cha urais wa Marekani katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika wiki iliyopita? Hakuna aliyekuwa akimpa nafasi kutokana na sera...
MEZA YA UFUNDI: Tunahitaji sura mpya zaidi Taifa Stars TIMU ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars inajiandaa na mchezo wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya Zimbabwe, The Mighty Warriors’ kesho Jumapili mjini Harare, ambao unaotambuliwa na kalenda ya...
Gia ya MO yamzidi maarifa Manji SIMBA haiko vizuri kiuchumi kama watani zao Yanga, lakini imejidhatiti katika maeneo kadhaa ambayo yameanza kuwaweka Yanga tumbo joto hasa bosi wao Yusuf Manji ambaye amekuwa akidai kuwa Simba...