Eymael ashinda kesi, Yanga kumlipa Sh354 milioni Taarifa ya FIFA ilieleza Yanga imepewa siku 45 kuzilipa fedha hizo na wasipofanya ndani ya muda huo watafungiwa kusajili kwenye madirisha matatu.
Simba bingwa Kombe la Mapinduzi 2022 Simba imetwaa kombe la Mapinduzi 2022 baada ya kuifunga Azam FC bao 1-0 katika mechi ya fainali iliyopigwa Uwanja wa Amaan. Bao la Simba limefungwa na Meddie Kagere kwa mkwaju wa penalti baada...
Eymael mambo yake safi Sauzi CHIPPA United ipo kwenye hatua za mwisho za kumpa kibarua Luc Eymael ili kumrithi Dan Malesela aliyefutwa kazi kutokana na mwenendo mbaya wa timu,
Mambo yamnyookea Simbu jeshini, sasa ni Sajinitaji Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Jacob John Mkunda amempandisha cheo, Sajini Alphonse Simbu kuwa Sajinitaji (Staff Sergeant) baada ya kutwaa medali ya dhahabu katika mashindano ya dunia ya...
Shearer: Isak? Amekosea kwenda Liverpool GWIJI wa Ligi Kuu England, Alan Shearer amesema straika Alexander Isak hajajitendea haki kwa uamuzi wake wa kwenda kujiunga na Liverpool.
Stones nusura astaafu soka BEKI wa kati wa Manchester City na England, John Stones amefichua alifikiria kustaafu soka msimu uliopita baada ya kuandamwa sana na majeraha.
Balotelli atangaza kurudi kwenye soka STRAIKA wa zamani wa AC Milan na Inter Milan, Mario Balotelli amesema yupo tayari kurejea kwenye soka.
Erling Haaland atishiwa kuuawa MSHAMBULIAJI wa Manchester City, Erling Haaland amedai kupokea vitisho vya kuuawa baada ya kufunga bao katika sare ya 1-1 dhidi ya Arsenal.
Dah! Pogba apata kimeo kingine KIUNGO wa AS Monaco, Paul Pogba amepata pigo baada ya kuumia na sasa ataendelea kusubiri kabla ya kucheza mechi yake ya kwanza kwenye kikosi hicho cha miamba ya Ufaransa.
Winga Real Madrid na Everton, Drenthe, apata kiharusi Winga wa zamani wa Real Madrid na Everton, Royston Drenthe, amelazwa hospitalini baada ya kupata kiharusi.