Makocha wagusia kutojiamini kikapu IMEKUWA ni kawaida kwa baadhi ya wachezaji wazawa wa kikapu nchini kutojiamini katika mechi wanazocheza kutokana na aina ya ushindani wanaokutana nao kutoka kwa wachezaji wa timu pinzani.
Baba'ke Ndidi afariki ajalini BABA wa kiungo wa Nigeria, Wilfred Ndidi amefariki dunia katika ajali ya gari.
Kwa hili...! Gyokeres ana kazi ya kufanya STRAIKA wa Arsenal, Viktor Gyokeres amekuwa gumzo baada ya kutoka kapa kwenye mechi ya Liverpool, huku takwimu zake za uwanjani zikizua mjadala.
Liverpool yamwomba Mo Salah Misri LIVERPOOL italazimika imetuma maombi kwenda Misri kwa ajili ya kuipata haraka huduma ya mshambuliaji wao wa kimataifa wa Misri, Mohamed Salah, baada ya taifa lake kuwa tayari imetolewa kwenye...
Mainoo ahakikishiwa maisha Man United MICHAEL Carrick amesema Manchester United inahitaji wachezaji kama Kobbie Mainoo, akiwataja kuwa ni “msingi wa klabu”.
Enzo Fernandez akili yote inawaza PSG ENZO Fernandez anafikiria kwa makini mustakabali wake Chelsea na huenda akawashangaza wengi kwa kuachana na miamba hiyo.
Semenyo kila kitu kipo poa Man City HABARI ndo hiyo. Antoine Semenyo anatazamwa kama mchezaji ambaye anaweza kwenda kuamua mshindi wa Ligi Kuu England msimu huu.
Pep Guardiola awasifu Arsenal, kisha achimba mkwara PEP Guardiola amewamwagia sifa vinara wa Ligi Kuu England, Arsenal, akiwataja kama timu bora zaidi duniani kwa sasa.
Trent aambiwa aondoke Real Madrid kwa raha zake BEKI wa kulia, Trent Alexander-Arnold amefanya mazungumzo na kocha wa Real Madrid, Alvaro Arbeloa na kuambiwa kwa usalama wake tu, anapaswa kuondoka kwenye kikosi hicho kwa raha zake mwishoni mwa...
Mashabiki Benfica wamvamia Mourinho MASHABIKI lialia wa Benfica wamevamia uwanja wa mazoezi wa klabu hiyo wakitaka majibu kuhusu kiwango duni cha timu yao chini ya Kocha Jose Mourinho aliyeteuliwa Septemba mwaka jana baada ya...