Enzo kuondoka Chelsea, Real Madrid ikichomoza KIUNGO wa Chelsea na timu ya taifa ya Argentina, Enzo Fernandez anahusishwa kujiunga na Real Madrid baada ya fainali za Kombe la Dunia 2026.
City yapoteza pointi, Arsenal yaimarisha mbio za ubingwa EPL Mbio za ubingwa wa EPL zimeendelea kushika kasi baada ya matokeo ya michezo kadhaa yaliyochezwa jana usiku kuathiri kwa kiasi kikubwa mwenendo wa timu zinazowania nafasi za juu.
Anayedaiwa kumbagua Vinicius afunguka LISBON, URENO: STAA wa Benfica, Gianluca Prestianni anayedaiwa kumtolea kauli za kibaguzi nyota wa Real Madrid, Vinicius Jr amejaribu kufafanua kauli alizodaiwa kuzitoa kwa mchezaji huyo na...
Liverpool yapata pigo kisa kiungo LIVERPOOL imepata pigo kubwa baada ya kumpoteza kiungo wao Wataru Endo kutokana na jeraha kubwa alilopata katika mechi ya Ligi Kuu England dhidi ya Sunderland wiki iliyopita.
Saha ataja viungo wawili wakunaswa Man United MABOSI wa Manchester United wameambiwa wawasajili mastaa wawili hatari kama mbadala wa Casemiro, huku majina ya wachezaji watakaochukua nafasi ya Mbrazili huyo huko Old Trafford yakitajwa hadharani.
Mgunda hataki kurudia makosa BAADA ya vipigo viwili mfululizo katika mechi za Ligi Kuu Bara, kocha mkuu wa Namungo, Juma Mgunda amesema hatarajii kurudia makosa kwenye pambno lijalo la michuano ya Kombe la Shikirikisho la...
Amad Diallo ampigia debe Michael Carrick kimtindo STAA wa Manchester United, Amad Diallo, amesisitiza umuhimu wa Michael Carrick kufuatia kuimarika kwa kiwango cha timu hiyo maarufu kama Mashetani Wekundu. Kiungo huyo wa zamani alikabidhiwa...
Laporta, Raphinha walalamika Barcelona RAIS wa Barcelona, Joan Laporta, amesema kuna njama za kuizuia klabu hiyo kushinda ligi kufuatia kile kilichotokea dhidi ya Girona.
Stanley Nwabali hatarini kutemwa Super Eagles KOCHA wa timu ya taifa ya Nigeria, Eric Chelle, huenda akamtema kipa Stanley Nwabali kwenye kikosi cha Super Eagles kitakachocheza mechi mbili za kimataifa za kirafiki Machi 2026.
Onana bado anaitaka Man Utd, ajipanga kurejea KIPA Andre Onana, anaendelea kuonyesha azma ya kurejea Man United na kuwa chaguo la kwanza, huku rafiki yake wa karibu akieleza kwamba mambo hayakuwa sawa dhidi ya kocha wa zamani, Ruben Amorim.