Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8810 results for Mwandishi :

  1. Joshua anarudi tena ulingoni

    BONDIA kutoka England, Anthony Joshua amepewa ofa ya kupigania taji la dunia siku chache tu baada ya ushindi wake wa KO katika pambano dhidi ya Jake Paul.

  2. Tom Saintfiet alilia penalti kwa Morocco

    KOCHA mkuu wa Mali, Tom Saintfiet amekosoa uamuzi wa marefa walioichezesha timu hiyo dhidi ya wenyeji Morocco na kutoka nao sare ya bao 1-1, katika mechi ya raundi ya pili ya hatua ya makundi ya...

    TOM Pict
  3. Kocha Super Eagles atabiri bingwa wa AFCON 2025

    Kocha wa zamani wa timu ya taifa ya Nigeria, Philippe Troussier, ametaja timu nane anazoamini zina uwezo wa kutwaa ubingwa wa fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON 2025), zilizoanza jana Jumapili...

    BINGWA Pict
  4. Scholes amtaja mchezaji mbovu Man United

    NGULI wa Manchester United, Paul Scholes, ametaja usajili mbaya zaidi kuwahi kufanywa na klabu hiyo, huku akimkosoa aliyekuwa mchezaji mwenzake kwa kukosa uelewa wa mpira wa miguu

    SCHOLES Pict
  5. Beki Algeria: Safi AFCON miaka minne

    UAMUZI wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuandaa michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) kila baada ya miaka minne imeungwa mkono na beki wa Algeria, Aissa Mandi aliyesema ni hatua...

    BEKI Pict
  6. Anthony Joshua apata ajali Nigeria, wawili wakifariki dunia

    BINGWA wa zamani wa ngumi za uzito wa juu duniani, Anthony Joshua, amelazwa hospitalini baada ya kupata ajali ya barabarani eneo la Makun kwenye Barabara Kuu ya Lagos–Ibadan, Jimbo la Ogun, leo.

    JOSHUA Pict
  7. Mapromota, TPBRC watofautiana katiba mpya

    MCHAKATO wa mabadiliko ya Katiba Mpya ya Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa nchini (TPBRC) umeingia ‘mdudu’ baada ya Chama cha Mapromota wa mchezo huo (TAPBPA) kusema hakijafurahishwa na...

    MAPROMOTA Pict
  8. Luca Zidane: Babu kafurahi kuja Algeria

    KIPA, Luca Zidane, mtoto wa gwiji wa soka wa Ufaransa, Zinedine, amesema amepata sapoti kubwa kutoka kwa babu yake juu ya ishu ya kubadili ushiriki wake kwenye soka la kimataifa kuitumikia...

    LUCA Pict
  9. Rushine akiri kutimka kwa Fadlu kumemtikisa

    BEKI wa kimataifa wa Afrika Kusini, Rushine De Reuck, amekiri kuondoka kwa kocha Fadlu Davids ndani ya Simba kumempa wakati mgumu yeye na Neo Maema aliyowavuta Msimbazi.

  10. AFCON 2025 beki chagua bega Diallo au Zaha   

    CHAGUA mwenyewe bega, unataka kumkabili Amad Diallo au Wilfried Zaha. Hilo swali linawahusu mabeki wa Msumbiji, Jumatano ya leo huko Morocco kwenye mikikimikiki ya AFCON 2025.

Previous

Page 344 of 881

Next