Courtois amkosoa Jose ishu ya Vini KIPA, Thibaut Courtois amekuwa mtu mwingine wa hivi karibuni kukosoa kauli zilizotolewa na Jose Mourinho kuhusu ushangiliaji wa Vinicius Junior dhidi ya Benfica. Kipa huyo wa Real Madrid alisema...
Wakala wa Wirtz atoa kauli nziti kumuhusu Xabi Alonso WAKALA wa kiungo mshambuliaji wa Liverpool, Florian Wirtz, Volker Struth, ametoa kauli nzito kuhusu kocha Xabi Alonso alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari vya Ujerumani.
Noti zamwagika Man United HATUA kali za kupunguza gharama za matumizi zilizoanzishwa na tajiri wa Manchester United, Sir Jim Ratcliffe zimezaa matunda makubwa na kuzalisha faida katika kikosi cha mashetani wekundu.
Kamati ya utendaji RMFF kuamua mrithi wa Walid Regragui KAMATI ya Utendaji ya Shirikisho la Soka la Morocco (RMFF), inatarajia kukutana leo Alhamisi ili kuamua mustakabali wa benchi la ufundi la timu ya taifa hilo ambalo mara ya mwisho lilipoteza...
Gabriel ajibu tuhuma Arsenal BEKI wa kati wa Arsenal, Gabriel Magalhaes amesema hawajali kabisa madai ya kocha wa Brighton, Fabian Hurzeler, kuhusu kupoteza muda makusudi wakati wa mchezo kwenye Ligi Kuu England msimu huu.
Kisa mshahara wa Messi, Inter Miami yasaka wadhamini MABOSI wa Inter Miami wanapambana kutafuta wadhamini watakaowekeza katika timu yao kutokana na gharama kubwa za uendeshaji wa klabu zinazowakabili ikiwamo mshahara wa Lionel Messi.
Yanga, Simba zapishana na mamilioni CAF Hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho Afrika msimu huu wa 2025/2026 inaanza wiki hii bila uwepo wa klabu za Tanzania kwa vile klabu za Yanga, Simba, Azam na...
Luis Figo aingilia mvutano wa Kylian Mbappé GWIJI wa soka wa klabu za Real Madrid na Barcelona, Luis Figo, ametoa maoni yake kuhusu mvutano unaoendelea juu ya jeraha la mshambuliaji wa Ufaransa, Kylian Mbappé, akisisitiza kuwa uamuzi wa...
Mashindano ya WAFCON 2026 yapelekwa mwezi Julai SHIRIKISHO la Soka barani Afrika (CAF), limetangaza kuahirishwa kwa michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON 2026), uamuzi uliotolewa siku 12 zikisalia kabla ya kuanza kwa...
Man City kuvaana na Liverpool, Arsenal, Chelsea zapewa hawa FA Droo ya hatua ya robo fainali ya Kombe la FA imefanyika jana usiku, huku vigogo wa soka England wakipata wapinzani wao katika hatua hiyo ambayo itazikutanisha uso kwa uso Manchester City na...