Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

7851 results for Mwandishi Wetu :

  1. Shakira amtoa Messi pangoni

    Dunia ya muziki na soka zimeungana tena kuandaa mazingira ya Kombe la Dunia Fifa 2026 litakayofanyika Marekani, Mexico na Canada kuanzia Juni 11 hadi Julai 19.

  2. Gor Mahia yatwaa ubingwa wa Ligi ya Kenya 2025-26

    TIMU ya Gor Mahia inayoshiriki Ligi Kuu ya Kenya, imetangazwa kuwa bingwa mpya wa ligi hiyo ikibakiza mechi mbili kumaliza msimu huu.

  3. Mashabiki West Ham wamshambulia David Sullivan

    Mashabiki wenye hasira wa West Ham United wamemgeukia mmiliki mwenza wa klabu hiyo, David Sullivan, baada ya timu hiyo kushuka Ligi Kuu England hadi Championship.

    SULLIVAN Pict
  4. Conte atangaza kubwaga manyanga Napoli

    Kocha Antonio Conte ametangaza ataondoka Napoli msimu huu ikiwa ni miezi 12 baada ya kuiongoza klabu hiyo kutwaa ubingwa wa Serie A.

  5. Luke Littler ‘alipuka’ Usyk kumshinda Verhoeven kwa utata

    Mchezaji nyota wa mchezo wa mishale (darts), Luke Littler, ametoa ya moyoni kuhusu ushindi wa Oleksandr Usyk dhidi ya Rico Verhoeven katika pambano lililounguruma nchini Misri Jumamosi, Mei 23...

    USYK Pict
  6. Lionel Messi azua hofu Argentina

    Lionel Messi azua hofu kuhusu ushiriki wake katika Kombe la Dunia baada ya kutoka mapema wakati wa mchezo wa Inter Miami usiku kuamkia leo.

    MESSI Pict
  7. Mamelodi Sundowns mabingwa wapya CAFCL

    Mamelodi Sundowns imetwaa ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu baada ya kulazimisha sare ya bao 1-1 na FAR Rabat nchini Morocco jana, Jumapili, Mei 24, 2026.

  8. Chicharito aitaka Mexico kuanza kwa kishindo Kombe la Dunia 2026

    MSHAMBULIAJI wa zamani wa timu ya taifa ya Mexico, Javier ‘Chicharito’ Hernandez anaamini Mexico inaweza kufanya vizuri katika Kombe la Dunia 2026, lakini jambo muhimu zaidi ni kuanza mashindano...

    MEXICO Pict
  9. Jamie Vardy hana bahati, ashuka tena na Cremonese

    Baada ya kushuka na Leicester City msimu wa 2024/25, nyota wa zamani wa timu ya taifa ya England, Jamie Vardy anaendelea kupitia kipindi kigumu kisicho na bahati baada ya kushuka daraja misimu wa...

    VERDY Pict
  10. Serengeti Girls isikate tamaa, nafasi ipo

    JUZI Jumamosi, timu ya Taifa ya Tanzania chini ya miaka 17 ilicheza dhidi ya Afrika Kusini mechi ya kwanza wa raundi ya pili ya kusaka tiketi ya Kombe la Dunia kwa wanawake chini ya miaka 17.

    SERENGETI Pict
Previous

Page 35 of 786

Next