Kuelekea Kombe la Dunia, mastaa Madrid watemwa Hispania
KOCHA Mkuu wa Hispania, Luis de la Fuente, ametangaza kikosi kwa ajili ya kushiriki Fainali za Kombe la Dunia 2026, huku akileta mshangao mkubwa baada ya kuwaacha wachezaji wa Real Madrid. Hii ni...