Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8442 results for Mwandishi Wetu :

  1. Chelsea yamtaka John Stones

    CHELSEA imeingia katika mbio za kumsajili beki wa kimataifa wa England, John Stones, kwa uhamisho wa bure baada ya mkataba wake na Manchester City kumalizika mwishoni mwa Juni.

    STONES Pict
  2. Amrouche, Dube wataja sifa tano zitakazombeba Mtasingwa Kaizer Chiefs

    KOCHA wa zamani wa timu ya taifa ya Tanzania, Adel Amrouche mwenye uraia wa Ubelgiji huku akiwa na asili ya Algeria, amemfananisha kiungo mpya wa Kaizer Chiefs, Adolf Mtasingwa Bitegeko, na...

    ADEL Pict
  3. Iraola: Mac Allister, Alisson hawauzwi

    KOCHA wa Liverpool, Andoni Iraola, amesema hana mpango wa kuwauza kiungo Alexis Mac Allister na kipa Alisson Becker, akisisitiza kuwa anataka kuwabakisha nyota wake muhimu kuelekea msimu wa 2026-27.

    IRAOLA Pict
  4. Al-Hilal yamnasa Summerville kwa Sh200 Bilioni

    KLABU ya Al-Hilal ya Saudi Arabia imefikia makubaliano na West Ham United ya kumsajili winga wa kimataifa wa Uholanzi, Crysencio Summerville, kwa ada ya jumla ya Pauni 60 milioni (sawa na Sh200...

    AL HILAL Pict
  5. Rais wa LaLiga amtaka Infantino ajiuzulu

    RAIS wa LaLiga, Javier Tebas, amemtaka rais wa FIFA, Gianni Infantino, kujiuzulu, akidai uongozi wake unaharibu tasnia ya soka kwa uamuzi yanayoweka maslahi ya mashindano ya Kombe la Dunia mbele...

    RAIS Pict
  6. Argentina waota Messi mwingine Kombe la Dunia 2030

    MUSTAKABALI wa Lionel Messi unaendelea kuwa gumzo kubwa katika ulimwengu wa soka, lakini sasa mashabiki wa Argentina wameibua ndoto mpya inayomhusu nahodha huyo na mwanawe mkubwa, Thiago Messi.

    MESSI Pict
  7. Vinicius Jr, afanyiwa upasuaji kurekebisha kidevu

    Nyota wa Real Madrid na Brazil, Vinicius Jr amefanyiwa upasuaji wa kurekebisha umbo la kidevu ikiwa ni wiki chache baada ya Brazil kuondolewa kwenye fainali za Kombe la Dunia.

    VINI Pict
  8. Mokwena aanza na mrithi wa Mayele Pyramids

    INARIPOTIWA kuwa, kocha Rulani Mokwena ameanza kwa kasi harakati za kusaka mshambuliaji katika kikosi chake cha Pyramids FC, kufuatia kuondoka kwa mshambuliaji tegemeo, Fiston Mayele.

    MOKWENA Pict
  9. Folz afichua sababu za kumvuta Skudu Tunisia

    KOCHA wa zamani wa Yanga, Romain Folz, ametaja sababu zilizomfanya amteue raia wa Afrika Kusini, Mahlatse Makudubela ‘Skudu’, kuwa sehemu ya benchi lake la ufundi katika klabu ya US Monastir ya...

    FOLZ Pict
  10. Simba Day 2026 kufanyika Uwanja wa Uhuru Agosti 8

    Klabu ya Simba imetangaza kuwa kilele cha tamasha la Simba Day 2026 kitafanyika Agosti 8, 2026 katika Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam, huku kikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 90 tangu...

    WAWI 03
Previous

Page 34 of 845

Next