FBI yachunguza simu ya Rais wa Argentina RAIS wa Shirikisho la Soka Argentina (AFA), Claudio "Chiqui" Tapia, anadaiwa kushikiliwa kwa muda na maafisa wa FBI kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa JFK, New York, muda mfupi kabla ya...
Saliba kuikosa Arsenal kwa muda mrefu ARSENAL imethibitisha kuwa beki wake tegemeo William Saliba atakosekana uwanjani kwa muda mrefu baada ya kupata jeraha la mgongo alipokuwa akiitumikia Ufaransa kwenye Kombe la Dunia.
Casemiro azua janga Inter Miami UONGOZI wa Ligi Kuu ya Soka Marekani (MLS) imeanzisha uchunguzi dhidi ya Inter Miami kufuatia madai ya kukiuka taratibu za usajili baada ya kumsajili kiungo wa Brazil, Casemiro.
Mateso kwa Mikel Arteta KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta, amekumbana na changamoto kubwa kufuatia baadhi ya wachezaji wake muhimu kurejea kutoka Kombe la Dunia wakiwa na majeraha na uchovu mkubwa.
Mwisho wa mechi 831 za Anthony Taylor MWAMUZI mashuhuri wa Ligi Kuu England (Premier League), Anthony Taylor, ametangaza kustaafu rasmi kazi ya uamuzi, siku chache baada ya kumalizika kwa Kombe la Dunia 2026.
Mastaa 15 watakaotikisa dirisha la usajili KOMBE la Dunia 2026 limehitimishwa, lakini sasa vita vinahamia kwenye dirisha la usajili, huku klabu zikianza kufuatilia kwa karibu nyota walioangaza nchini Marekani, Canada na Mexico.
Mtasingwa Adolf usajili wa bilioni UHAMISHO wa kujiunga na Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini kwa Dola 500,000 (Sh1.3 bilioni) kutoka Azam FC unamfanya kiungo Adolf Mtasingwa sasa kuwa mchezaji wa tatu wa Kitanzania aliyehamishwa kwa...
Mwandishi wa michezo auawa Italia MWANDISHI maarufu wa habari za soka Italia, Luigi “Luca” Esposito, ameuawa kikatili kwa kupigwa risasi kisha mwili wake kuchomwa moto katika mauaji yanayoonekana kutekelezwa kwa umakini mkubwa.
Arsenal yabanwa kwa Bruno Guimaraes! KLABU ya Newcastle United imeanza kuchoshwa na namna Arsenal inavyofuatilia kiungo wake na nahodha, Bruno Guimaraes, huku ikisisitiza haitamuuza kwa chini ya pauni milioni 80 (zaidi ya Sh bilioni...
Chelsea yamtaka John Stones CHELSEA imeingia katika mbio za kumsajili beki wa kimataifa wa England, John Stones, kwa uhamisho wa bure baada ya mkataba wake na Manchester City kumalizika mwishoni mwa Juni.