Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

7851 results for Mwandishi Wetu :

  1. Milan walivyomtimua Massimiliano Allegri

    AC Milan wamemfuta kazi kocha Massimiliano Allegri baada ya kumaliza msimu vibaya, huku uongozi wa klabu ukiutaja kama kushindwa kulikotokana na namna benchi la ufundi lilivyokuwa likitekeleza...

  2. Chicago Fire wanamtaka Lewandowski

    KOCHA wa Chicago Fire, Gregg Berhalter amethibitisha kuwa klabu hiyo inamtaka mshambuliaji wa zamani wa Barcelona na Bayern Munich, Robert Lewandowski.

  3. Mastaa Manchester City wamlilia Pep Guardiola

    NGULI wa mpira wa kikapu duniani, Michael Jordan, alikuwa miongoni mwa mastaa waliompa heshima kocha anayeondoka Manchester City, Pep Guardiola, katika sherehe yake ya kuaga klabuni hapo ambayo...

    MASTAA Pict
  4. Black Stars tayari kwa Kombe la Dunia 2026

    Chama cha Soka cha Ghana (GFA), kimeachia video maalum inayoonyesha kambi ya timu ya taifa hilo maarufu Black Stars, iliyoko Cardiff, Wales tayari kwa maandalizi ya Fainali za Kombe la Dunia 2026.

  5. Alphonso Davies kukosa mechi ya kwanza Kombe la Dunia 2026

    Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Canada, Jesse Marsch, ametoa taarifa ya kina kuhusu hali ya afya ya nyota wa kikosi hicho, Alphonso Davies ambaye anaendelea kupatiwa matibabu ili kuwahi michuano...

    ALPHONSO Pict
  6. Luis Díaz kuiongoza Colombia Kombe la Dunia 2026, James Rodríguez naye ndani

    Mshambuliaji Luis Díaz, amejumuishwa katika kikosi cha mwisho cha wachezaji 26 watakaoliwakilisha taifa la Colombia kwenye michuano ya Kombe la Dunia 2026, itakayounguruma nchini Marekani, Mexico...

    DIAZ Pict
  7. Japan wanapeleka ujuzi wa mbio, chenga Marekani

    JAPAN ni miongoni mwa mataifa 48 ambayo yatakuwa katika ardhi ya Amerika Kaskazini mwezi ujao kwenye fainali za Kombe la Dunia, likipeleka wakali wake wengi wenye ujuzi wa kuwatoka wapinzani wao...

    JAPAN Pict
  8. Vinicius Jr, Mourinho kupiga kazi pamoja?

    ENZI mpya inaonekana kuanza Real Madrid huku Jose Mourinho akitajwa kurejea kwenye benchi la ufundi la klabu hiyo, jambo ambalo litamuweka moja kwa moja katika chumba cha kubadilishia nguo pamoja...

    MOURINHO Pict
  9. Nusu fainali AFCON U-17 utamu upo hapa

    MECHI za Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa vijana wenye umri chini ya miaka 17 (AFCON U-17), zinaendelea kuchezwa nchini Morocco ambapo vijana wa Tanzania, Serengeti Boys wamefuzu kwa...

    SERENGETI Pict
  10. Europa ligi iitwe unai Emery Cup

    Kombe la Dunia la zamani, kabla ya hili la sasa la FIFA, liliitwa Jules Rimet Cup yaani Kombe la Jules Rimet.

    PUMZI Pict
Previous

Page 33 of 786

Next