Tajiri Brooklyn Earick akataa kuiuza Tottenham TAJIRI Brooklyn Earick ameamua kuondoa rasmi ofa yake ya Pauni 4.5 bilioni ya kuinunua klabu ya Tottenham Hotspur, baada ya familia ya Lewis kusisitiza hawatoiuza kwa pesa yoyote ile.
KMKM, Azam kuna mtu atashangazwa, rekodi zinaongea KIMAHESABU hadi sasa Tanzania imeshajihakikishia nafasi moja kati ya nne za kutinga makundi ya michuano ya kimataifa inayosimamiwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) kwa msimu huu.
Harry Kane afunguka kurudi England KAPTENI wa timu ya taifa ya England, Harry Kane, 32, amefuta tetesi za kutaka kurejea tena England na kusisitiza yupo tayari kusaini mkataba mpya wa kuendelea kusalia.
Bayern Munich kufanya umafia kwa Guehi BAYERN Munich imehusishwa na mpango wa kufanya shambulizi la kushtukiza la kumsajili beki wa Crystal Palace, Marc Guehi.
Juventus, Barcelona zinapigana vikumbo kwa Bernardo Silva BARCELONA na Juventus zimepanga kumsajili kiungo wa Manchester City, Bernardo Silva,31, ambaye pia anawindwa na timu za Saudi Arabia zikiwamo Al-Ahli, Al-Qadsiah na Al-Nassr.
Peter Lammens amkosha Schmeichel GWIJI wa Manchester United, Peter Schmeichel ametoa maoni yake kuhusu kipa mpya wa klabu hiyo, Senne Lammens alifanya vile ambavyo kipa wa timu kubwa kama hiyo alitakiwa kucheza.
Wakenya walivyotawala mashindano ya gofu Arusha WACHEZAJI wa kulipwa na ridhaa wa gofu kutoka Kenya wametawala mashindano ya wazi yaliyofanyika wikiendi iliyopita kwenye Uwanja wa Kiligolf, Arusha.
Rodrygo aeleza simu moja tu ilivyoua dili lake Barcelona Kwa mara ya kwanza, winga wa Real Madrid, Rodrygo Silva de Goes amefichua siri yake ya kukaribia kusajiliwa na FC Barcelona, akitokea nyumbani kwao Barazil alipokuwa akiitumikia klabu ya Santos.
Paul Scholes awakataa Caicedo, Rice, akomaa na Sandro Tonali Wiki iliyopita gwiji wa Manchester United, Paul Scholes alimsifu Sandro Tonali kama kiungo bora zaidi katika Ligi Kuu ya England kwa sasa, na kumpa nafasi ya juu zaidi kuliko Moisés Caicedo wa...