Kocha Super Eagles ajutia kauli yake, awaomba radhi DR Congo Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Nigeria maarufu Super Eagles, Eric Chelle, ameomba radhi kwa wachezaji na maafisa wa DR Congo baada ya kutoa maneno ya shutuma za ‘uchawi’ ilipomalizika mechi ya...
Karim Benzema: Nipo tayari kurudi Real Madrid Mshambuliaji wa Ufaransa na klabu ya Al Ittihad ya Saudi Arabia, Karim Benzema, amesema yupo tayari kurudi Real Madrid, endapo itatokea nafasi hiyo.
34 zatangulia Kombe la Dunia 2026 Nchi 34 zimejihakikishia kushiriki fainali za Kombe la Dunia 2026 zitakazounguruma nchini Mexico, Marekani na Canada, baada ya kukamilisha mchakato wa kufuzu.
Usicheke! Hata Man Utd inaweza kubeba EPL msimu huu NENO la onyo. Kinachosemwa ni kwamba kwenye soka namba zinaweza kutumika kutoa taswira ya kitu kinachoweza kwenda kutokea au ambacho hakiwezi kwenda kutokea.
Vichaka anavyoweza kuibukia Neymar Januari SUPASTAA wa boli, Neymar atakuwa mchezaji huru kwenye dirisha la Januari, hivyo ataondoka Santos huku jambo hilo likivutia timu nyingi zinazosaka mchezaji huyo mnyumbulifu uwanjani.
Kocha Spurs afunguka ishu ya Man United KOCHA Thomas Frank amefunguka kwamba alifanyiwa usaili na bosi wa Manchester United, Sir Jim Ratcliffe kwa ajili ya kwenda kuinoa timu hiyo siku moja kabla ya kubeba taji la Kombe la FA mwaka 2024.
Barcelona yarejea Camp Nou, kuanza na Athletic Club KLABU ya Barcelona inatarajiwa kurejea tena kucheza kwenye Uwanja wa Camp Nou.
Liverpool yamtaka Antoine Semenyo akamrithi Salah LIVERPOOL imeendelea kupambana ili kumsajili mshambuliaji wa Bournemouth, Antoine Semenyo, 25, katika dirisha lijalo la usajili wa Januari ili akazibe pengo la staa wao raia wa Misri, Mohamed...
Zidane mambo mazuri Ufaransa ZINEDINE Zidane ameripotiwa kuweka sawa hatima yake ya baadaye kwenye kazi ya ukocha.
Staa Isak hataki kutoa visingizio STRAIKA Alexander Isak amesema hana cha kujitetea juu ya kiwango kibaya kwenye mwanzo wa maisha yake huko Liverpool.