Kaseja apania makubwa fainali za Mataifa ya Afrika Kaseja alisema wachezaji wengi walioitwa ni wale wenye uzoefu na soka la ufukweni na wamekuwa wakifanya vizuri kwenye michuano ya ndani ikiwemo yale mashindano ya Copa Dar es salaam ambayo...
Yanga yajipigia JKT Tanzania yakaa kileleni Yanga ilipata mabao yake yaliyofungwa na Herities Makambo, Mrisho Ngassa na bao la penalti ya Ibrahimu Ajibu yalitosha kuwafanya mashabiki wa Yanga kusahau shida na matatizo ya fedha...
VIDEO: Makambo, Ngassa wauwasha moto Yanga Kipa huyo aliyesajiliwa msimu huu akitokea klabu ya Racing da Kinshasa ya kwao DR Congo ili kuchukua nafasi ya Youthe Rostand, aliwatibua mashabiki baada ya kuruhusu bao la kusawazisha dakika...
Sherehe ya mke wa Tambwe imedamshi kwa sapraiz kibao KWA taarifa yako tu, juzi Jumamosi mke wa straika wa kimataifa wa Yanga, Amissi Tambwe, Raiyan alifanyiwa sherehe kupongezwa kwa kufunga ndoa na nyota huyo kutoka Burundi.
Gauni la harusi mke wa Tambwe acha kabisa! Gauni la singo (Kitchen Part) la rangi ya pinki, nimelinunua Sh300,000, la ndoa ni rangi ya pichi Sh200,000 na la usiku wa zawadi ni Sh500,000
Kocha Zanzibar aita 38 kujiandaa Chalenji Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Zanzibar ya Vijana chini ya umri wa miaka 20, Salum Ali Haji, ametangaza kikosi cha awali cha wachezaji 38, kwa ajili ya kujiandaa na Mashindano ya Cecafa ya Vijana...
Mpeni tu!: Okwi mpango mzima lakini kwa Zahera, Aussems nako moto USIBISHE. Emmanuel Okwi ndiye atakayenyakua tuzo ya Mchezaji Bora wa Ligi Kuu Bara kwa mwezi Oktoba. Hii ni kwa sababu siku zote namba huwa hazidanganyi hata kidogo.
Kaseja, Mgosi waitwa timu ya Taifa Wengine Mohamed Makame, Shafii Mussa, Justine Anthony na Self Mwinyi. Pawasa alisema kikosi hiko kitaanza mazoezi Jumamosi katika viwanja vya fukwe ya Coco Beach.
Okwi, Ajibu wakisoma hii ni balaa tupu! Yule straika mkali wa mabao aliyetingisha miaka ya nyuma, Abdallah Juma 'Dulla' ameongea maneno makali ambayo kama washambuliaji kama, Emmanuel Okwi, Meddie Kagere wa Simba...
Mastaa 14 Simba, Yanga wakalia kuti kavu Upande wa Yanga wao mwanzo wa msimu walisajili wachezaji watano ambao ni Deus Kaseke, Mrisho Ngassa, Faisal Salum 'Fei Toto', Heritier Makambo na Nkinzi Kindoki na kumpandisha Poul Godfrey 'Boxer'.