Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8780 results for Mwandishi :

  1. Infantino aihakikishia timu ya taifa ya Iran kuingia Marekani

    Wachezaji wa zamani wa Reading FC na Hull City, Saeed Ezatolahi na Allahyar Sayyadmanesh, wataweza kuichezea Iran katika fainali za Kombe la Dunia la 2026, endapo wataitwa kwenye kikosi cha nchi...

    IRAN Pict
  2. Hugo Ekitike afunguka usiyoyajua kuhusu Mohamed Salah

    MSHAMBULIAJI wa Liverpool, Hugo Ekitike, amefichua maisha ya nyota wa kimataifa wa Misri, Mohamed Salah, namna anavyoishi ndani ya nje ya uwanja.

    EKITIKE Pict
  3. Amorim athibitisha Man United kucheza na Al-Nassr

    KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim amethibitisha kuwa kikosi hicho kinapanga kuandaa mechi za kirafiki katikati ya msimu ili kuongeza mapato, kutokana na ukosefu wa ushiriki kwenye...

    MAN 02
  4. Nicky Butt awekwa kwenye kona, kulipa fidia ya mamilioni

    NYOTA wa zamani wa England, Nicky Butt, huenda akalipa maelfu ya pauni kama fidia baada ya kumgonga mtu aliyekuwa anaendesha pikipiki na kumvunja mguu.

    BUTTY Pict
  5. Wachambuzi, malejendi wamvaa kocha Man United

    MCHEZAJI wa zamani wa Manchester United, Gary Neville amekosoa vikali madai ya Ruben Amorim kwamba wachambuzi wanashawishi wachezaji wa timu hiyo na kumtaka asijifiche na kulaumu watu wengine.

    AMORIM Pict
  6. Raundi tatu za Ligi Kuu Bara,Fountain Gate hadi aibu

    JANA Oktoba 1, 2025, raundi ya tatu ya Ligi Kuu Bara ilihitimishwa kwa kuchezwa mechi mbili, Simba ikiifunga Namungo mabao 3-0, huku JKT Tanzania ikitoka sare ya bao 1-1 dhidi ya Azam.

  7. Hamilton arudi uwanjani baada ya msiba wa mbwa wake 'Roscoe' 

    DEREVA wa timu ya Ferrari, Lewis Hamilton alijizuia kulia alipofunguka kuhusu mapenzi makubwa aliyopokea kufuatia kifo cha mbwa wake Roscoe, akiliita tukio hilo kuwa la kushtua kihisia.

    HAMILTON Pict
  8. Thomas Tuchel atangaza kikosi, amtema Bellingham

    Meneja wa timu ya Taifa ya England, Thomas Tuchel hajamuisha nyota wa Real Madrid, Jude Bellingham katika kikosi chake kinachojiandaa na michezo miwili ya kimataifa mwezi huu.

    KIKOSI Pict
  9. Amorim ataja kinachoitafuna Man United

    KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim amesema moja kati ya vitu ambavyo kikosi chake kinakosa ni wachezaji watukutu wenye ‘roho mbaya’ uwanjani.

    AMORIM Pict
  10. Slot ambwagia zigo la lawama Frimpong

    KOCHA wa Liverpool, Arne Slot, amemwangushia zigo la lawama mchezaji wake Jeremie Frimpong kufuatia uzembe alioufanya ambao ulisababisha timu hiyo kupoteza kwa bao la dakika za majeruhi dhidi ya...

    SLOT Pict
Previous

Page 310 of 878

Next