Julian Nagelsmann afunguka kiwango cha Wirtz KOCHA wa Liverpool, Arne Slot, ametumiwa ujumbe na kocha wa timu ya taifa ya Ujerumani, Julian Nagelsmann ambaye amesema kiwango kisichoridhisha kinachoonyeshwa na Florian Wirtz si kosa la staa...
Real Madrid yapiga hesabu hizi kwa Haaland MABOSI wa Real Madrid wamewasiliana na kambi ya Erling Haaland ili kuangalia uwezekano wa kumsajili, huku ripoti zikidai kabla ya kufanikisha hilo wanataka kwanza kumuuza staa wao wa kimataifa wa...
Enzo Fernandez arudi fasta London kufanyiwa vipimo Nyota wa Chelsea, Enzo Fernandez, amerejea jijini London, kufuatia hofu ya kuwa na majeraha ambayo huenda yakamuweka nje ya uwanja kwa siku kadhaa.
Ronaldo awatibua mashabiki, wamshambulia mtandaoni Baadhi ya mashabiki waliokerwa na hatua ya Cristiano Ronaldo kukosa penalti kwenye mechi ya kufuzu fainali za Kombe la Dunia 2026 dhidi ya Ireland ya Kaskazini usiku wa kuamkia leo...
Mashabiki Real Madrid washangaa Bellingham kutoonekana kwenye kalenda ya 2026 Uongozi wa Real Madrid umezua maswali kwa baadhi kwa mashabiki wa klabu hiyo kufuatia kumuondoa Jude Bellingham katika kalenda ya klabu hiyo mwaka 2026, wakihoji mustakabali wa kiungo huyo mwenye...
Dili la Rashford, Barcelona kuitega Man United Barcelona imeanza kuitega Man United katika dili la mshambuliaji Marcus Rashford aliyetua klabuni hapo kwa mkopo wakati wa usajili wa majira ya kiangazi, baada ya kuonyesha nia ya kumsajili moja...
Duh! Huo msosi wa Haaland ni balaa WANASEMA hata uwe na shida vipi, usiache kula na hicho ndicho anachokifanya mtambo wa mabao wa Manchester City, Erling Haaland, anayejipongeza kila baada ya mechi kwa kupiga misosi ya nguvu ili...
Isak, kocha Howe wamenuniana STRAIKA Alexander Isak amefichua hajazungumza na Kocha Eddie Howe tangu alipohama Newcastle United na kwenda kujiunga na Liverpool.
Arsenal yapigwa faini kisa gemu ya Man United ARSENAL imekumbana na adhabu ya kupigwa faini ya Pauni 500,000 baada ya kuvunja kanuni ya Kombe la FA katika mechi yao dhidi ya Manchester United, Januari mwaka huu.
Utata wa Man United kuuzwa IMEFICHUKA. Uvumi ulioibuliwa na Turki Alalshikh juu ya madai ya kuuzwa kwa Manchester United imeelezwa inaweza kuwa ni jambo linalohusu ujenzi wa Uwanja wa Old Trafford.