Hispania yaitupa nje Austria, ikifuzu 16 bora Hispania imeweka hesabu zake sawa, baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Austria kwenye mchezo uliokuwa mkali kwa timu zote mbili.
Aston Villa yaishtaki FIFA kwa CAS ASTON Villa yaifikisha FIFA Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo (CAS) baada ya kuzuiwa kumsajili chipukizi Brian Madjo.
CAF yatoa mkeka kwa Yanga, Simba SHIRIKISHO la Soka Afrika(CAF) imetangaza rasmi kalenda ya mechi za msimu wa 2026/27 wa Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho Afrika.
Yanga yatozwa faini ya Sh100 milioni kutumia 'Jumba la Maajabu' Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imeitoza Klabu ya Yanga faini ya Sh100 milioni baada ya kubainika kuwa wachezaji na benchi la ufundi walitumia nyumba iliyo nje ya uwanja badala ya chumba rasmi...
MO Salah amwaga machozi akibeba Misri MSHAMBULIAJI Mohamed Salah alishindwa kuzuia hisia zake za kutokwa na machozi baada ya kuiongoza Misri kupata ushindi wake wa kwanza kabisa katika hatua ya mtoano ya Kombe la Dunia.
Man United yamtoa Onana kwa Waturuki KIPA wa Manchester United, Andre Onana amerejea kwa mkopo katika klabu ya Trabzonspor ya Uturuki kwa msimu wa 2026/27.
Baraka za Vatican zamfuata Messi Marekani Nahodha wa Argentina, Lionel Messi, alipokea zawadi maalum iliyobarikiwa na Vatican baada ya tukio la kugusa hisia lililotokea kufuatia ushindi wa Argentina dhidi ya Cape Verde katika hatua ya...
Kisa Singida BS, Azam yahaha kwa Kitambala AZAM inahaha kumrudisha kundini mshambuliaji wake, Jephte Kitambala ambaye amebakiza hatua chache kumalizana na Singida Black Stars iliyomchukua kwa jeuri ya fedha.
PRIME Usajili wa Fei Toto… Zilongwa mbali, zitendwa mbali ZILONGWA mbali zitendwa mbali ni msemo wa Kizaramo wenye maana ya 'maneno mbali na vitendo mbali' yaani yanayosemwa ni tofauti kabisa na yanayofanyika. Hivi ndivyo ilivyo kwenye suala la...