Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

474 results for Ibrahim Mussa :

  1. PUMZI YA MOTO: Maajabu ya tatu fainali Z'bar Heroes

    LEO, timu ya taifa ya Zanzibar 'Zanzibar Heroes' itacheza fainali ya Kombe la Mapinduzi dhidi ya Burkina Faso katika kusherehekea miaka 61 ya Mapinduzi ya Zanzibar.

    New Content Item (1)
  2. Osama Korosho; Aikimbia Mtwara, anajitafuta Dar

    Mitaa ya Mkanaredi, Soko la Chuno, Coco Beach, Stendi zamani hadi Mikindani mkoani Mtwara imekuwa mitaa muhimu kwa bondia chipukizi wa ngumi za kulipwa nchini Osama Arabi lakini maarufu zaidi...

    Korosho Pict
  3. Serikali yatoa msimamo afya mabondia wa kulipwa

    SERIKALI imewataka mapromota kuhakikisha wanakuwa na ripoti ya afya kwa mabondia kabla ya kuingia makubaliano ya kusaini mikataba ya kucheza mapambano.

  4. PRIME MUSONDA: Tatizo lilikuwa Mayele, ila nataka kucheza hapa!

    KIKOSI cha Yanga kina washambuliaji ambao ni tishio kwa mabeki wa timu pinzani, lakini mashabiki wa klabu hiyo wamekuwa wakichanganywa na namba za Mzambia Kennedy Musonda.

  5. Simulizi ya bondia kifo cha Mgaya

    MIONGONI mwa mambo yaliyokuwa gumzo mwishoni mwa mwaka 2024 hadi mapema Januari 2025 ni tukio la bondia wa ngumi za kulipwa nchini, Hassan Mgaya kufariki baada ya kumalizika kwa pambano lake...

    Bondia Pict
  6. Mkali wa mabao KenGold akimbilia Namungo

    KLABU ya Namungo iko katika hatua za mwisho za kukamilisha uhamisho wa mshambuliaji wa KenGold, Joshua Ibrahim baada ya kufikia makubaliano binafsi na nyota huyo, aliyekitumikia kikosi hicho...

    Mkali Pict
  7. MCHANJA: Bondia anayetembea na rekodi ya peke yake

    YOHANA Mchanja ni mmoja kati ya mabondia wenye rekodi kubwa katika mchezo wa ngumi za kulipwa hapa nchini anayetokea Jiji la Tanga.

    Mchanja Pict
  8. Bondia afariki baada ya kupigwa ulingoni

    BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini, Hassan Mgaya, amefariki dunia usiku huu muda mchache baada ya kupewa rufaa ya kupelekwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kutoka Hospitali ya Mwananyamala.

    Kifo Pict
  9. Mchanja, Mfilipino kazi ipo KO ya Mama

    BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini, Yohana Mchanja na mpinzani wake Miel Farjado wa Ufilipino watakabiliana katika pambano la kimataifa la kuwania mkanda wa ubingwa wa WBO Global huku kila mmoja...

    Ngumi Pict
  10. Kenedy Ayoo na safari ya mikasa hadi Russia kuzichapa

    WIKI iliyopita katika tasnia ya mchezo wa ngumi za kulipwa nchini kulitokea mshtuko baada ya kuenea taarifa za bondia Kenedy Ayoo kukwama nchini Russia baada ya kupata ushindi wa pointi aliopata.

    Ayoo Pict
Previous

Page 4 of 48

Next