Ciro Messi aiga ustadi wa baba yake MTOTO wa staa wa Inter Miami, Lionel Messi mwenye umri wa miaka sita, Ciro, ameonekana kuiga mtindo wa baba yake kwa kufunga bao la kuvutia katika mchezo wa akademi ya timu hiyo ya baba'ke.
Mo Salah aacha ujumbe mzito kwa Slot, wachezaji NYOTA wa Liverpool, Mohamed Salah amemtaka Kocha Arne Slot na wachezaji wa timu hiyo kuhakikisha wanatwaa ubingwa msimu ujao baada ya mechi yake ya mwisho akiwa na klabu hiyo.
Arsenal yamaliza EPL kibabe, West Ham yashuka daraja Arsenal imenogesha sherehe zake za ubingwa wa Ligi Kuu England (EPL) msimu huu baada ya leo Jumapili, Mei 24, 2026 kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 ugenini dhidi ya Crystal Palace kwenye Uwanja wa...
Jamie Vardy hana bahati, ashuka tena na Cremonese Baada ya kushuka na Leicester City msimu wa 2024/25, nyota wa zamani wa timu ya taifa ya England, Jamie Vardy anaendelea kupitia kipindi kigumu kisicho na bahati baada ya kushuka daraja misimu wa...
Mixx kuwapeleka watano Kombe la Dunia 2026 KAMPUNI ya huduma za fedha kidijitali, Mixx kwa kushirikiana na kampuni ya vifaa vya kielektroniki Hisense, wametambulisha rasmi kampeni itakayowapa Watanzania nafasi ya kujishindia zawadi...
Ian Wright ampa mtihani Mikel Arteta ARSENAL imefanikiwa kutwaa taji la Ligi Kuu ya England 2025-2026 baada ya kusubiri kwa miaka 22, huku sherehe za ubingwa huo zikitawaliwa na matukio ya kihistoria na ya kufurahisha katika uwanja...
Fabregas aduwaza, AC Milan, Juve chali Ulaya Miujiza ya kocha Cesc Fabregas imeonekana baada ya kuiongoza Como kufuzu kwa mara ya kwanza katika historia yake kucheza Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Cremonese...
Shakira amtoa Messi pangoni Dunia ya muziki na soka zimeungana tena kuandaa mazingira ya Kombe la Dunia Fifa 2026 litakayofanyika Marekani, Mexico na Canada kuanzia Juni 11 hadi Julai 19.
Serengeti Boys yazoa tuzo, ikipoteza fainali AFCON kwa Senegal Matumaini ya Serengeti Boys kutwaa ubingwa wa AFCON U17 yamezimwa katika mchezo wa fainali jana jijini Rabat, Morocco baada ya kupoteza kwa mikwaju ya penalti 4-2 mbele ya Senegal.
Refa Msomali aondolewa Kombe la Dunia kisa Marekani Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), limesema kuwa Mwamuzi wa Somalia, Omar Abdulkadir Artan ameondolewa kuchezesha Fainali za kombe la Dunia 2026.