Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8016 results for Mwandishi Wetu :

  1. Wenger ameshtua watu Italia

    MASHABIKI wa soka wamebaki kwenye mchangao mkubwa baada ya kumwona Arsene Wenger uwanjani kwenye mechi ya Como dhidi ya Juventus kwenye Serie A.

    WENGER Pict
  2. Kurudi Anfield... Klopp asema kitu!

    KOCHA, Jurgen Klopp amefunguka juu ya uwezekano wa kurejea kuinoa Liverpool akidai hilo kinadharia inawezekana.

    KLOP Pict
  3. Ruben Amorim alivyomzidi ujanja Arne Slot

    RUBEN Amorim ametumia akili kubwa kumzidi ujanja Arne Slot wakati Manchester United ilipoiduwaza Liverpool uwanjani kwao Anfield

    AMORIM Pict
  4. Sean Dyche, Nottingham Forest wakati wowote kitaeleweka

    Sean Dyche huenda akatangazwa kuwa kocha mkuu mpya wa Nottingham Forest baada ya mazungumzo kati yake na uongozi wa klabu hiyo kwenda vizuri tangu jana Jumapili jioni Oktoba 19, 2025.

    DYCHE Pict
  5. Dar City yaweka historia, yafuzu 16 bora Basketball Africa League

    Mwakilishi wa Tanzania katika mashindano ya Basketball Africa League (BAL), Dar City, imefuzu hatua ya 16 bora ya mashindano hayo ya bara la Afrika, ambayo yanatarajiwa kufanyika baadaye mwaka...

  6. Maneno ya Cristiano Ronaldo yaungwa mkono na Novak Djokovic 

    Nyota wa Tenisi, Novak Djokovic amempongeza nahodha na mshambuliaji wa Al NAssr ya Saudi Arabia, Cristiano Ronaldo kwa kauli yake kuhusu kupambana na kupata mafanikio.

    DJOKOVIC
  7. Gary Neville: Kerkez, Van Dijk wameiponza Liverpool

    Mchezaji wa zamani wa Manchester United, Gary Neville, amewakosoa mabeki wa Liverpool, Milos Kerkez na Virgil van Dijk, kufuatia kipigo cha mabao 2-1 dhidi ya Man United kwenye Uwanja wa Anfield,...

    NEVILLE Pict
  8. Messi atuma ujumbe kwa wachezaji wa Argentina chini ya miaka 20

    Nahodha na mshambuliaji wa kikosi cha wakubwa cha Argengina, Lionel Messi, ametuma ujumbe wa kuwafariji wachezaji wa timu ya taifa hilo chini ya miaka 20, baada ya kupoteza mechi ya fainali ya...

    MESSI Pict
  9. Mpango wa Cristiano Ronaldo kwenda India umeshindikana

    Mpango wa mashabiki na uongozi wa mji wa Goa nchini India wa kutaka kumuona Cristiano Ronaldo akitua mjini humo kwa ajili ya mechi ya Ligi ya Mabingwa Asia (AFC Champions League Two) dhidi ya FC...

    RONALDO Pict
  10. Jamie Carragher: Inatosha sasa, Mo Salah awekwe benchi

    Gwiji wa Liverpool, Jamie Carragher amemshauri kocha mkuu wa klabu hiyo, Arne Slot kumuweka benchi mshambuliaji Mohamed Salah baada ya mambo kuwaendea hivyo kwenye mchezo wa jana Jumapili, Oktoba...

    SALAH Pict
Previous

Page 291 of 802

Next