Orlando Pirates yasaka rekodi mpya Afrika HAKUNA klabu yoyote ya Afrika Kusini iliyowahi kupindua matokeo ya kufungwa mabao 3-0 katika mechi ya kwanza ya hatua ya mtoano kwenye mashindano ya klabu za Afrika.
Simba yaingia 10 bora tuzo za CAF 2025, Pyramids, Berkane ndani Simba katika msimu wa 2024/2025 ilifika hatua ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika.
Simba, Mtibwa, TFF zamlilia Alphonce Modest Kufuatia kifo cha staa wa zamani wa Simba na Yanga, Alphonce Modest kilichotokea jana Jumanne Oktoba 21, 2025 akiwa nyumbani kwao Kigoma, wadau mbalimbali wa soka wamemlilia zikiwemo klabu...
PSV yailaza Napoli kwa mabao 6-2 PSV Eindhoven imepindua matokeo kwa kishindo na kuishangaza Napoli iliyomaliza ikiwa na wachezaji 10, kwa ushindi wa mabao 6-2 katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya iliyochezw usiku wa Oktoba...
Dortmund yaiadhibu Copenhagen kwao Jobe Bellingham ametoa mchango wake wa kwanza tangu ajiunge na Borussia Dortmund baada ya kusaidia bao la ufunguzi la Felix Nmecha, ambaye alifunga mara mbili na kuisaidia klabu hiyo ya Ujerumani...
Doue ang’ara PSG ikishinda saba kwa Leverkusen Mabingwa watetezi wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, Paris Saint-Germain wametoa onyo kali baada ya kuibamiza Bayer Leverkusen mabao 2-7 na kufikisha ushindi wa tatu mfululizo katika michuano hiyo.
Lopez afunga hat trick, Rashford mbili Barca ikipiga mtu sita Fermin Lopez amefunga mabao matatu huku Marcus Rashford akiendeleza makali yake kwa kufunga mara mbili, akiifikisha jumla ya mabao manne katika mechi tatu za Ligi ya Mabingwa Ulaya, wakati...
Barnes, Gordon waiongoza Newcastle kuichapa Benfica ya Mourinho Harvey Barnes na Anthony Gordon wameipa Newcastle United ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Benfica inayoongozwa na Jose Mourinho katika Ligi ya Mabingwa Ulaya, mechi ikichezwa St James' Park, usiku...
Haaland afunga tena, Man City ikimaliza ukame wa ushindi ugenini Erling Haaland ameendelea na rekodi yake ya kufunga alipofumania nyavu kwa mara ya 12 mfululizo, akiisaidia Manchester City kumaliza ukame wa ushindi ugenini kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa...
Gyokeres apiga mbili, Arsenal ikiichapa Atletico 4-0 ARSENAL imefunga mabao manne ndani ya dakika 14 pekee ilipoichapa Atletico Madrid 4-0 na kuendeleza mwanzo wao mzuri katika hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, mechi ikichezwa usiku wa...