Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8759 results for Mwandishi :

  1. Maresca ruksa kubadili kikosi

    KOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca amepewa ruhusa na mabosi wake kuendelea kuwapa nafasi ya kucheza mastaa wake kwa kubadilibadili kikosi licha ya kwamba jambo hilo liliifanya timu hiyo kupata sare...

    MARESCA Pict
  2. Kocha Man United afunguka tatizo la Mainoo

    KOCHA, Ruben Amorim amekiri kwamba kufeli kwa Manchester United kufuzu michuano ya Ulaya na kutupwa nje mapema katika Kombe la Ligi kumesababisha madhara makubwa kwa kiungo Kobbie Mainoo.

    MAINOO Pict
  3. Amorim: Ni zali tu kubaki Manchester United

    KOCHA, Ruben Amorim amekiri kuwa ni mwenye bahati kuendelea kuwapo kwenye benchi la ufundi la Manchester United kutokana na matokeo ya hovyo iliyopata timu hiyo hasa kwenye mwaka wake wa kwanza...

    AMORIM Pict
  4. Wachezaji Nigeria wachelewa kambini, mazoezi yaahirishwa

    Kikosi cha timu ya taifa ya Nigeria, Super Eagles, huenda kikaanza mazoezi ya kwanza leo usiku Novemba 10, 2025, kuelekea mechi ya mchujo ya Kombe la Dunia 2026 dhidi ya Gabon itakayochezwa...

    NIGERIA
  5. Mechi moja kumpa mabilioni Mayele

    DR Congo ilimaliza katika nafasi ya pili kwenye msimamo wa Kundi B la kuwania kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2026 kupitia Afrika baada ya kukusanya pointi 22.

  6. Kocha Super Eagles ajutia kauli yake, awaomba radhi DR Congo

    Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Nigeria maarufu Super Eagles, Eric Chelle, ameomba radhi kwa wachezaji na maafisa wa DR Congo baada ya kutoa maneno ya shutuma za ‘uchawi’ ilipomalizika mechi ya...

    CHELLE Pict
  7. Iran yaitumia Nigeria kutuma ujumbe mzito duniani

    Timu ya taifa ya Iran juzi ilivaa vitambaa vyeusi mkononi na kushikilia mabegi ya shule wakati wimbo wao wa taifa ukipigwa kabla ya mechi dhidi ya Nigeria kama ishara ya kupinga shambulio...

  8. Tuchel ampa onyo Maguire, akimfagilia Stones

    KOCHA wa timu ya taifa ya England, Thomas Tuchel, amemuonya beki wa Manchester United, Harry Maguire kuwa ana nafasi ndogo ya kuchaguliwa kikosi cha mwisho kitakachowakilisha katika Kombe la...

    MAGUERE Pict
  9. Luis Enrique, Man United kuna jambo linakuja

    VYANZO vya kuaminika vimeweka wazi juu ya wapi kocha wa PSG, Luis Enrique, anaweza kufundisha msimu ujao, baada ya kuibuka kwa taarifa za kuhitajika na Manchester United.

    ENRIQUE
  10. CAG aibua ‘madudu’ Uwanja wa Samia Arusha

    Kichere amesema kuwa kiwango cha fedha kilichotarajiwa kutumika katika ujenzi wa Uwanja huo ni kidogo kulinganisha na kile kilichosainiwa katika mkataba wa ujenzi huo.

Previous

Page 277 of 876

Next