Bosi Arsenal apanda ndege kumfuata Gyokeres BOSI wa usajili kwenye kikosi cha Arsenal, Andrea Berta amekwea pipa kwenda Ureno kufanya mazungumzo ya kina na mabosi wa Sporting Lisbon kwa ajili ya kukamilisha usajili wa straika wa mabao...
Ruben Amorim sasa achanganyikiwa KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim kichwa kinauma. Katika dirisha hili Mreno huyo alikuwa na mpango wa kujenga upya kikosi chao kwa kusajili maeneo muhimu kama ushambuliaji, mabeki na...
Luis Enrique afunguka kumchapa Joao Pedro KOCHA wa Paris Saint-Germain, Luis Enrique ameelezea kwa nini amemchapa kibao Joao Pedro kwenye vurugu zilizotokea baada ya Chelsea kushinda taji la Klabu Bingwa Dunia kwa kuifunga miamba hiyo ya...
Tshabalala aaga rasmi Simba, Yanga yatajwa kumalizana naye BEKI wa Simba, Mohammed Hussein 'Tshabalala' sio tu kumaliza mkataba wake kikosini hapo, pia ameiaga rasmi akionyesha hataendelea na Wekundu hao, huku watani zao wa jadi, Yanga wakitajwa...
Donnarumma ashtua mabosi Old Trafford MANCHESTER United imepata mzuka baada ya kusikia kwamba kipa wa Paris Saint-Germain, Gianluigi Donnarumma anaweza kupatikana kwa bei ya kutupa.
Jadon Sancho kuna tatu mezani WAKATI hatma yake ikiwa haijulikani hadi sasa, ripoti zinaeleza kuwa timu tatu za Ligi Kuu England zinainyemelea huduma ya winga Jadon Sancho wa Manchester United.
Bosi kubwa Man United afunguka MKURUGENZI Mtendaji Mkuu wa Manchester United, Omar Berrada amefunguka huku akisisitiza miamba hiyo ya Old Trafford itarejea kwenye kilele cha Ligi Kuu England kufikia 2028.
Nunez atoke, aje Alvarez Anfield STAA wa zamani wa Liverpool, Mjerumani Dietmar Hamann amesema italeta maana kama miamba hiyo ya Anfield itaachana na Darwin Nunez ili kumchukua staa wa Atletico Madrid, Julian Alvarez.
Arteta aisukia mkakati maalum PSG KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta ameanza kazi ya kupanga namna atakavyoingia kwenye mchezo wa nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya PSG wiki ujao, ikiwamo kumtumia Leandro Trossard kama...
Kocha PSG apuuza kona za Arsenal KOCHA wa PSG, Luis Enrique amepuuzilia mbali uwezo wa Asenal katika mipira ya kona akisema watajiandaa kuelekea mchezo huo kama wanajiandaa dhidi ya timu zingine. PSG itafanya safari kwenda...