Saka, Odegaard ni presha tupu Arsenal KOCHA Mikel Arteta kijasho kinamtoka huko Arsenal baada ya mastaa wake Bukayo Saka na Martin Odegaard wote kuumia ikiwa bado wiki moja tu kabla ya kwenda kukabiliana na Liverpool kwenye...
Chelsea imemfanyia hili Sterling BAADA ya kushindwa kupata timu dirisha lililopita la majira ya kiangazi, winga wa Chelsea na England Raheem Sterling anatarajiwa kukaa nje na kufanya mazoezi ya peke yake hadi Januari na...
Cunha awashusha presha Man United STAA mpya wa Manchester United, Matheus Cunha amesema atakuwa fiti na kurejea uwanjani hivi karibuni baada ya kushindwa kuendelea na mchezo kwenye ushindi dhidi ya Burnley katika mchakamchaka wa...
Ten Hag kapiga Euro 100,000 kwa siku KOCHA, Erik ten Hag ameigharimu Bayer Leverkusen mkwanja mrefu, Euro 100,000 kwa kila siku aliyokuwa akifanya kazi katika klabu hiyo ya Bundesliga, imeelezwa.
Amorim: Wakikosa timu tunaishi nao KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim huenda akafungua milango kuwakaribisha kikosi mastaa wanne asiowataka endapo kama watashindwa dili za kuwaondoa jumla Old Trafford.
CHAN 2024: Appiah anavyowapa tabasamu Wasudani KOCHA wa timu ya taifa la Sudan, James Kwesi Appiah ambaye kesho, Jumanne ataongoza kikosi hicho kucheza mechi ya nusu fainali ya mashindano ya CHAN dhidi ya Madagascar, ameweka historia kwenye...
CHAN 2024: Makocha Kenya wakubali kiwango KOCHA wa timu ya Tusker, Charles Okere na wa City Stars, Salim Babu pamoja na yule wa Bidco, Anthony Akhulia wamesema kuwa kiwango cha Harambee Stars katika michuano ya mataifa ya Afrika kwa...
Eberechi Eze afichua siri Arsenal STAA Eberechi Eze amefichua ni kama alikuwa kwenye majaribio kikosi cha Arsenal kwa miaka minne akijaribu kuwashawishi asajiliwe mara zote alizocheza dhidi yao.
Eze avunja ukimya, afichua kilichomvutia Arsenal Nyota mpya wa Arsenal, Eberechi Eze amefichua ni kama alikuwa kwenye majaribio ya kikosi hicho kwa miaka minne akijaribu kuwashawishi asajiliwe mara zote alizocheza dhidi yao.