Gabriel Jesus afichua jambo Arsenal MSHAMBULIAJI wa Arsenal, Gabriel Jesus amefichua kuwa ndoto yake ni kurejea Palmeiras ya kwao Brazil.
Roque avunja ukimya dili la kurudi Ulaya NYOTA anayewaniwa na klabu za Man Utd na Chelsea, Vitor Roque amethibitisha mipango yake ya kutaka kurudi Ulaya.
Cantona ambabua tajiri Man United UNAMKUMBUKA nyota wa kifaransa aliyeweka heshima kubwa Manchester United? Eric Cantona, ndiye aliyekusudiwa hapa. Sasa jamaa huyo ameamua kumlipua bilionea wa klabu hiyo ya England. Sir Jim...
Azam FC yashusha vichwa viwili matata BODI ya Azam Football Club imemtangaza rasmi Octavi Anoro (42), raia wa Hispania, kuwa Mtendaji Mkuu (CEO) mpya wa klabu hiyo, kwa mkataba wa miaka miwili utakaomalizika mwaka 2027.
Chelsea yaandaa mkwanja wa maana ili kumnasa Alvarez CHELSEA inajiandaa kuwasilisha ofa ya takriban Euro 150 milioni kwa ajili ya kumsajili straika wa Atletico Madrid na timu ya taifa ya Argentina, Julian Alvarez, katika dirisha lijalo la majira ya...
Fowler: Liverpool? Hii haichukui tena GWIJI wa Liverpool, Robbie Fowler amebainisha sababu zake zinazomfanya aifute timu hiyo kwenye mbio za ubingwa wa Ligi Kuu England msimu huu.
Maguire, Casemiro watikisa kimtindo NDO hivyo. Manchester United inaweza ikapata hasara ya kuwapoteza wachezaji wenye thamani ya Pauni 150 milioni bila ya kupata chochote wakati mikataba yao itakapofika tamati wakati wa dirisha...
Nigeria yatamba imejiandaa kuinyoosha DR Congo RAIS wa Shirikisho la Soka Nigeria (NFF), Alhaji Ibrahim Musa Gusau, ametolea maoni ushindi mkubwa wa Super Eagles dhidi ya Gabon usiku wa Alhamisi, huku akitamba timu hiyo imepania kushinda...
Rio: Huyu Mbeumo ni kama mzaha tu! GWIJI wa Manchester United, Rio Ferdinand amemtaja nyota wa Cameroon, Bryan Mbeumo kama 'mzaha' (yaani mchezaji wa ajabu sana) kutokana na mwanzo wake wenye ushawishi katika maisha mapya Old...
Aubameyang: Nilifanya uamuzi wa hovyo kujiunga Chelsea STRAIKA Pierre-Emerick Aubameyang amedai kipindi chake cha hovyo alichokuwa nacho ni wakati alipohamia Chelsea, na ni kosa kubwa alilowahi kufanya kwenye maisha yake.