Guardiola amweka binti yake benchi KOCHA, Pep Guardiola ameamua kumwanika binti yake, Valentina kwa mashabiki wa soka duniani baada ya kumkaribisha kwenye benchi la ufundi wakati Manchester City ilipokuwa katika majukumu ya...
Singida Black Stars yaanza na mashine hii UNAMKUMBUKA kiungo mshambuliaji Raouf Bao ambaye alionyesha kiwango bora katika mashindano ya Mapinduzi Cup 2025 yaliyofanyika Zanzibar akiwa na kikosi cha timu ya taifa Burkina Faso? Sasa...
De Bruyne ampigia debe Grealish Napoli KIUNGO wa Manchester City Kevin de Bruyne ambaye anatarajiwa kujiunga na Napoli katika dirisha hili inadaiwa kumuomba kocha wa Napoli, Antonio Conte amsajili Jack Grealish.
Mwaka mmoja wa Robinho jela STAA wa zamani wa Manchester City, Robinho amekamilisha mwaka mmoja wa kutumikia kifungo chake cha miaka tisa jela.
Rashford mambo freshi La Liga STAA wa Manchester United anayecheza kwa mkopo Barcelona, Marcus Rashford ni moja ya majina saba ambayo huenbda yakaingia katika orodha ya nyota watakaokipiga La Liga msimu ujao.
Kumekucha mashindano ya Gofu ya Rotary Club MASHINDANO ya 15 ya Gofu ya Rotary Club ya Bahari yanatarajiwa kufanyika Agosti 16 kwenye viwanja vya Klabu ya Gymkhana Dar es Salaam.
Huyo Baleba kaomba kwenda Man United HABARI ndo hiyo. Kiungo mkata umeme, Carlos Baleba ameripotiwa kuwasilisha maombi yake ya mdomo kwa mabosi wa Brighton akiwaomba wamfungulie mlango wa kwenda kujiunga na Manchester United.
Rooney: Amorim hana visingizio tena LEJENDI wa Manchester United, Wayne Rooney amesema Ruben Amorim hana tena visingizio na lazima ahakikishe timu inaanza kupata matokeo haraka.
Kitita chatengwa dili la Isak, Guehi Liverpool LIVERPOOL iko tayari kufanya ununuzi mkubwa wa zaidi ya Pauni 150 milioni wa wachezaji kabla ya dirisha hili la uhamisho la majira ya kiangazi kufungwa.
Arteta bado hajamaliza usajili KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta, bado hajamaliza, ndio. Mhispania huyu bado anahitaji wachezaji wasiopungua wanne kwa ajili ya kuboresha zaidi kikosi.