Polisi yathibitisha MC Pilipili amekufa kwa kipigo Nani kamuua mchekeshaji maarufu nchini Tanzania, Emmanuel Mathias, maarufu MC Pilipili pengine ndio swali linalogonga vichwa vya wengi kwa sasa. Nani amehusika kwenye mauaji yake na kwa nini...
Mayele atwaa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka wa Klabu Fiston Mayele ametawazwa kuwa Mchezaji Bora wa Mwaka wa Klabu za Wanaume katika Tuzo za CAF 2025, akihitimisha msimu wake bora zaidi uliomfanya mshambuliaji huyo wa DR Congo kuwa mmoja wa...
Mzize ang’ara tuzo za CAF 2025 Mshambuliaji wa Yanga na Taifa Stars, Clement Mzize ameshinda Tuzo ya Bao Bora la Mwaka 2025 katika hafla ya utoaji tuzo za Shirikisho la Soka Afrika (CAF).
Barca yazidi kujisogeza kwa Marc Guehi, Liverpool nayo ipo BARCELONA imejiingiza katika vita dhidi ya vigogo wengine Ulaya ili kuipata saini ya beki kisiki wa Crystal Palace na timu ya taifa ya England, Marc Guehi ambaye imekuwa ikimfuatilia kwa karibu.
Njia ya Mayele kufika Kombe la Dunia 2026 DR Congo ya Fiston Mayele imebakiza mechi moja tu kukamatia tiketi ya kucheza fainali za Kombe la Dunia 2026 zitakazofanyika huko Amerika Kaskazini mwakani.
Mike Dean...Nani Ferguson? mtata Wenger MWAMUZI, Mike Dean amefichua kwamba Sir Alex Ferguson wala hakuwa kocha mtata kwa waamuzi waliochezesha mechi za timu yake licha ya wengi kuamini alikuwa moto kwa marefa.
Mziki wa Man United unavyosukwa pale kati RUBEN Amorim anapambana kufumua safu ya kiungo ya kikosi cha Manchester United kuhakikisha kinakuwa bora kwa ajili ya kushindana na wababe wengine kwenye mchakamchaka wa mataji mbalimbali ikiwamo...
Msiogope! Kuna Hincapie pale kwa Gabriel BEKI wa kati wa Arsenal, Gabriel Magalhaes huenda akakaa nje ya uwanja kwa muda usiopungua wiki nne baada ya kupata maumivu ya misuli ya paja alipokuwa kwenye majukumu ya kuitumikia timu ya taifa...
Semenyo anachotaka ni Arsenal tu basi STAA wa Bournemouth, Antoine Semenyo amefunguka akifichua kwamba ni Arsenal tu ndiko anakotamani kwenda kukipiga baada ya maisha ya Vitality Stadium kufika ukomo.
Liverpool yaonywa kuhusu Robertson LIVERPOOL imeonyesha kwamba itakuwa imepata hasara kubwa endapo kama itamruhusu beki wa kushoto Andrew Robertson aondoke katika klabu hiyo.