Kigogo Homeboyz ataka Benni McCarthy atimuliwe MWENYEKITI wa klabu ya Kakamega Homeboyz, Cleophas Shimanyula amelitaka Shirikisho la Soka Kenya (FKF), kumfukuza kocha wa timu ya taifa, Harambee Stars, Benni McCarthy kutokana na aibu ya kipigo...
Kipa Singida Black Stars aibua gumzo Nigeria Gwiji wa soka nchini Nigeria, Yakubu Aiyegbeni, ameibuka na kuhoji uamuzi wa kocha wa timu ya taifa ya nchi hiyo, Eric Chelle, wa kumjumuisha kipa anayekipiga nchini Tanzania, Amas Obasogie...
Thibaut Courtois ataja walinda mlango watatu bora duniani Kipa wa timu ya taifa ya Ubelgiji na klabu ya Real Madrid, Thibaut Courtois, ametaja orodha ya makipa bora, ambao anaamini kwa sasa wanafanya vizuri katika soka la ushindani.
Mane afichua kwa nini aliikataa Man United na kutimkia Anfield Hatimaye mshambuliaji wa Al Nassr ya Saudi Arabia, Sadio Mané, amefichua kuwa alikataa kusajiliwa na Manchester United na badala yake akaamua kujiunga na Liverpool mwaka 2016.
Tanzania yaporomoka nafasi tano viwango vya ubora FIFA Tanzania imeporomoka kwa nafasi tano kwenye viwango vya ubora vya Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) katika chati ya viwango ya mwezi Novemba.
Paul Pogba kurudi dimbani baada ya mwaka mmoja Kiungo wa Ufaransa, Paul Pogba anatarajiwa kucheza mechi yake ya kwanza akiwa na AS Monaco kesho Jumamosi, Novemba 22, 2025 dhidi ya Rennes, huku akiendelea kujiandaa kurejea katika mechi za...
Wale wazee wa muvi hili hapa chimbo la maana EBWANAEE wikiendi ndo imeanza hivyo. Kwa wale wapenzi wa muvi, tuwe tunakutana hapa kila Ijumaa kupeana vituz.
Kisa McTominay... Scotland yamshukuru Jose Mourinho SCOTT McTominay amesubiri muda mrefu kabla ya kucheza mechi yake ya kwanza Manchester United chini ya kocha Jose Mourinho.
Manchester United sasa yatua kwa Aurelien Tchouameni MANCHESTER United imepanga kumsajili kiungo wa Real Madrid na timu ya taifa ya Ufaransa, Aurelien Tchouameni, 25, katika dirisha lijalo la majira ya baridi au kiangazi.