Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8754 results for Mwandishi :

  1. Gyokeres akataa kutabiri atakapocheza 2025/26

    STRAIKA wa Sporting Lisbon, Viktor Gyokeres amekataa kutabiri juu ya wapi anaweza kutua dirisha lijalo la majira ya kiangazi akisisitiza 'hakuna anayeweza kutabiri kitakachotokea.'

    KUTABIRI Pict
  2. Kocha Chelsea afunguka njia wanayopita

    WAKATI ligi ipo kwenye nusu ya mzunguko wa kwanza, Chelsea ilikuwa ikionekana kuwa mpinzani halisi wa Liverpool katika mbio za ubingwa.

    CHELSEA
  3. Ronaldo, Toney wana bato lao

    WAKATI timu ya Cristiano Ronaldo, Al Nassr ikitarajiwa kuukosa tena ubingwa wa Ligi Kuu Saudi Arabia (SPL), gwiji huyo anakumbana na ushindani mwingine katika kuwania kiatu cha mfungaji bora...

  4. HII KITU HAIKUBALIKI… Nahodha Arsenal, kocha wawaambia mastaa

    NAHODHA wa Arsenal, Martin Odegaard amewaambia wachezaji wenzake kwenye kikosi hicho kwamba kipigo cha mabao 2-1 walichokumbana nacho dhidi ya Bournemouth, jana Jumamosi "haikubaliki".

    HAIKUBALIKI Pict
  5. Trent kuruhusiwa fasta Madrid

    BEKI wa kulia, Trent Alexander-Arnold anajiandaa kwenda kujiunga na Real Madrid akitokea Liverpool kwa ada isiyozidi Pauni 1 milioni ndani ya muda ili akakipige kwenye michuano ya Kombe la Dunia...

    TRENT Pict
  6. Arne Slot aanza kuwaza msimu mpya

    KOCHA wa Liverpool, Arne Slot anaamini kikosi chake kitakuwa na faida kubwa kwenye mchakamchaka wa kutetea ubingwa wa Ligi Kuu England msimu ujao kutokana na wapinzani kuwa na mechi za ziada...

    SLOT Pict
  7. Luis Enrique aikejeli kijanja EPL

    KOCHA wa Paris Saint-Germain, Luis Enrique amekejeli kauli ya kwamba Ligue 1 ni ligi ya ‘wakulima’ licha ya kuzichapa timu nne za Ligi Kuu England kwenye mikikimikiki ya Ligi ya Mabingwa Ulaya...

    LUIS Pict
  8. Kompyuta yaiondoa Arsenal kwa PSG

    BAADA ya kupoteza mchezo wa mkondo wa kwanza wa mechi ya nusu fainali kwa bao 1-0 kwenye uwanja wao wa nyumbani wa Emirates dhidi ya PSG, Arsenal imetabiriwa kuwa na asilimia ndogo za kwenda...

    ARSENAL Pict
  9. Lehmann: Arteta atafutwa kazi

    GWIJI wa Arsenal, Jens Lehmann amesema kocha wa sasa wa timu hiyo Mikel Arteta atajiweka kwenye hatari ya kufutwa kazi endapo atashindwa kubeba taji la Ligi Kuu England msimu ujao.

    LEHMAN Pict
  10. Waziri Masauni ataka vipaji vitunzwe

    WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Hamad Yussuf Masauni amesema michezo ni fursa inayowawezesha vijana wengi ambao wameamua kuendeleza vipaji vyao kujiajiri, endapo...

    MASAUNI Pict
Previous

Page 252 of 876

Next