Gyokeres akataa kutabiri atakapocheza 2025/26 STRAIKA wa Sporting Lisbon, Viktor Gyokeres amekataa kutabiri juu ya wapi anaweza kutua dirisha lijalo la majira ya kiangazi akisisitiza 'hakuna anayeweza kutabiri kitakachotokea.'
Kocha Chelsea afunguka njia wanayopita WAKATI ligi ipo kwenye nusu ya mzunguko wa kwanza, Chelsea ilikuwa ikionekana kuwa mpinzani halisi wa Liverpool katika mbio za ubingwa.
Ronaldo, Toney wana bato lao WAKATI timu ya Cristiano Ronaldo, Al Nassr ikitarajiwa kuukosa tena ubingwa wa Ligi Kuu Saudi Arabia (SPL), gwiji huyo anakumbana na ushindani mwingine katika kuwania kiatu cha mfungaji bora...
HII KITU HAIKUBALIKI… Nahodha Arsenal, kocha wawaambia mastaa NAHODHA wa Arsenal, Martin Odegaard amewaambia wachezaji wenzake kwenye kikosi hicho kwamba kipigo cha mabao 2-1 walichokumbana nacho dhidi ya Bournemouth, jana Jumamosi "haikubaliki".
Trent kuruhusiwa fasta Madrid BEKI wa kulia, Trent Alexander-Arnold anajiandaa kwenda kujiunga na Real Madrid akitokea Liverpool kwa ada isiyozidi Pauni 1 milioni ndani ya muda ili akakipige kwenye michuano ya Kombe la Dunia...
Arne Slot aanza kuwaza msimu mpya KOCHA wa Liverpool, Arne Slot anaamini kikosi chake kitakuwa na faida kubwa kwenye mchakamchaka wa kutetea ubingwa wa Ligi Kuu England msimu ujao kutokana na wapinzani kuwa na mechi za ziada...
Luis Enrique aikejeli kijanja EPL KOCHA wa Paris Saint-Germain, Luis Enrique amekejeli kauli ya kwamba Ligue 1 ni ligi ya ‘wakulima’ licha ya kuzichapa timu nne za Ligi Kuu England kwenye mikikimikiki ya Ligi ya Mabingwa Ulaya...
Kompyuta yaiondoa Arsenal kwa PSG BAADA ya kupoteza mchezo wa mkondo wa kwanza wa mechi ya nusu fainali kwa bao 1-0 kwenye uwanja wao wa nyumbani wa Emirates dhidi ya PSG, Arsenal imetabiriwa kuwa na asilimia ndogo za kwenda...
Lehmann: Arteta atafutwa kazi GWIJI wa Arsenal, Jens Lehmann amesema kocha wa sasa wa timu hiyo Mikel Arteta atajiweka kwenye hatari ya kufutwa kazi endapo atashindwa kubeba taji la Ligi Kuu England msimu ujao.
Waziri Masauni ataka vipaji vitunzwe WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Hamad Yussuf Masauni amesema michezo ni fursa inayowawezesha vijana wengi ambao wameamua kuendeleza vipaji vyao kujiajiri, endapo...