Kikao cha Pep, Salah chashtua PEP Guardiola amewashtua mashabiki wa Liverpool baada ya picha yake akiwa kwenye kikao cha siri na mshambuliaji wa timu hiyo, Mohames Salah huko Etihad kuonekana hadharani.
Madrid yamkomalia Saliba REAL Madrid ipo tayari kutoa pesa nyingi ili kuhakikisha inaipata saini ya beki kisiki wa Arsenal, William Saliba ambaye amependekezwa na Carlo Ancelotti tangu dirisha lililopita la majira ya...
Maresca afunguka ishu ya kipa wake BAADA ya kufanya makosa yaliyochangia Chelsea kupoteza dhidi ya Manchester City wikiendi iliyopita, kipa wa miamba hiyo ya Stamford Bridge, Robert Sanchez huenda akakaa benchi kwa mechi zijazo...
Kisa waamuzi, Neville amvaa Arteta LEJENDI wa Manchester United, Gary Neville amemshutumu Kocha wa Arsenal, Mikel Arteta kwa kuchochea hasira za mashabiki wa Arsenal dhidi ya waamuzi.
Samatta atupia mawili Paok ikishinda tano Nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars, Mbwana Samatta jana aliisaidia timu yake ya Paok kupata pointi tatu muhimu baada ya kuifungia mabao mawili kwenye mchezo wa Ligi Kuu nchini...
Man City yapewa mserereko Kombe la FA DROO ya raundi ya tano ya Kombe la FA imepangwa na mashabiki hawajafurahia kabisa.
Siri yafichuka sababu Haaland kuwekwa nje dhidi ya Madrid IMEFICHUKA Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola alimweka nje straika wake Erling Haaland katika mechi ya mtoano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Real Madrid
Slot: Salah ni Cristiano Ronaldo mtupu AKIWA na umri wa miaka 32 kwa sasa, staa wa Liverpool, Mohamed Salah au King Salah kama anavyoitwa na mashabiki wake, amemkosha sana kocha wake Arne Slot ambaye anadai utimamu wa mwili wa fundi...
Real Madrid yatishia kujitoa La Liga REAL Madrid imefikiria mpango wa kujitoa kwenye La Liga, imeelezwa.
Maresca yupo salama Chelsea KOCHA, Enzo Maresca kwa sasa kibarua chake kipo salama huko Chelsea licha ya Mtaliano huyo kuwa kwenye kitimoto kutokana na kushinda mechi tatu tu kati ya 10 za mwisho Ligi Kuu England.