Athletic yapata ushindi wa kwanza Andre akiandika historia UEFA Klabu ya Athletic imetoka nyuma na kuichapa Qarabag mabao 3-1 na kupata ushindi wake wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu huu, baada ya kiungo wa Qarabag, Leandro Andrade, kuweka historia...
Ekitike afunga Liverpool ikimaliza ukame wa ushindi kwa kishindo Hugo Ekitike amefunga dhidi ya klabu yake ya zamani wakati Liverpool wakiukomesha mwenendo wao mbaya wa kupoteza mechi kwa kishindo, baada ya kutoka nyuma na kuicharaza Eintracht Frankfurt katika...
Mtoto wa tajiri aibuka Man United EDWARD Glazer, mmoja wa ndugu watano wenye hisa nyingi kwenye umiliki wa klabu ya Manchester United, amebainisha juu ya mpango wa familia hiyo ya Kimarekani juu ya kutathmini mustakabali wa klabu...
Taifa Stars mambo yake ni magumu Taifa Stars imepoteza matumaini ya kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia mwaka 2026, baada ya kulala kwa bao 1-0 dhidi ya Niger kwenye mchezo uliopigwa Uwanja wa Amaan Zanzibar.
Martinelli afurahia ushindani Arsenal WINGA wa Arsenal, Gabriel Martinelli amesema tena kwa msisitizo kwamba anafurahia ushindani wa namba uliopo kwenye kikosi hicho na yupo tayari kwa mapambano licha ya kuwapo na taarifa za kwamba...
Ancelotti achimba mkwara Brazil KOCHA, Carlo Ancelotti ameahidi kwamba Brazil itawasha moto kwenye fainali za Kombe la Dunia 2026 baada ya kufuzu michuano hiyo kwa rekodi mbaya.
Mkataba unamsubiri Silva Benfica MGOMBEA urais wa Benfica, Joao Noronha Lopes, ameweka wazi mpango wake mkubwa wa kumrejesha Bernardo Silva katika klabu yake ya utotoni akitokea Manchester City.
William Saliba ashtua Arsenal ARSENAL imepata pigo lingine baada ya kugundua muda ambao beki wao William Saliba atakaa nje kutokana na jeraha lake la kifundo cha mguu.
Mashabiki wampa ujumbe mzito Arteta MASHABIKI wa Arsenal wanamtaka kocha wao Mikel Arteta kufanya mabadiliko ya kiufundi kwenye kikosi chake baada ya kiungo Mikel Merino kufunga hat-trick huko Hispania.
Arteta afunguka hali ya Saliba KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta ametoa taarifa za hivi karibuni kuhusu maendeleo ya beki wao kisiki, William Saliba, baada ya kutomjumuisha katika kikosi cha Arsenal kilichokabiliana na Nottingham...