Mgombea Benfica amtaka Jurgen Klopp MMOJA wa wagombea urais kwenye klabu ya Benfica ametoa ahadi ya kumwajiri Jurgen Klopp kwenda kuwa kocha wa timu hiyo endapo kama ataibuka mshindi kwenye uchaguzi mwezi ujao.
Kocha: Man United imemvuruga Baleba KOCHA wa Brighton, Fabian Hurzeler amekiri kiungo wake Carlos Baleba ameathiriwa na kelele za kuhusu kukwama kwa dili lake la kwenda kujiunga na Manchester United.
Jose Mourinho anaondoka muda wowote BAADA ya kusaini mkataba wa miaka miwili wa kuitumikia Benfica, taarifa za ndani zinaeleza kocha Jose Mourinho huenda akaondoka mwishoni mwa msimu huu kutokana na vipengele vilivyopo.
Amorim: Hata aje Papa sibadili mfumo KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim amesisitiza hata aje Papa hawezi kumshawishi kubadilisha mtindo wake wa kucheza.
Ronaldo ajibu ishu ya Joao Felix STAA wa Ureno, Cristiano Ronaldo amekosoa maoni ya watangazaji wa kipindi kimoja cha Youtube waliokosa uhamisho wa Joao Felix kwenda Al Nassr.
TFF yaufungia Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limeufungia Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi uliopo Tabora kutumika kwa michezo ya Ligi Kuu Bara kutokana na kukosa vigezo vya kikanuni na sheria za mpira...
Kipa Lammens apewa mchongo wa Anfield Hasa ukizingatia kwamba Liverpool imepoteza mechi tatu tu kati ya 83 za Ligi Kuu England ilizocheza kwenye uwanja wake huo katika kipindi cha misimu mitano.
Ishu ya Uwanja Man United iko hivi MANCHESTER United ina matumaini ya kupata ardhi zaidi ili kuharakisha mpango wao wa kujenga uwanja mpya wa kisasa utakaokuwa na uwezo wa kuingiza watu 100,000.
Kocha Chelsea alimwa mamilioni KOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca, amefungiwa kwa mchezo mmoja kuiongoza timu yake uwanjani na kutozwa faini ya Pauni 8,000 (zaidi ya Sh25 milioni) na Shirikisho la Soka la England kutoka na kosa...
Fjortoft amkingia kifua Wirtz, awashangaa wanaomlaumu Aliyekuwa mshambuliaji wa Norway, Jan Aage Fjortoft, amemtetea kiungo wa Liverpool, Florian Wirtz, akisema mchezaji huyo wa Kijerumani analaumiwa kwa kila jambo linalokwenda vibaya ndani ya...