Shearer, Arteta watoa neno kwa Gyokeres STAA wa zamani wa Newcastle United, Alan Shearer anaamini straika wa Arsenal Viktor Gyokeres ataisaidia sana timu hiyo kwa kufunga mabao msimu huu, lakini hatoweza kufikia hata kidogo idadi ya...
Lionel Messi azidi kuweka rekodi STAA wa kimataifa wa Argentina, Lionel Messi ameweka rekodi baada ya kushinda tuzo ya mfungaji bora wa Ligi Kuu Marekani , akimaliza msimu akiwa na mabao 29, akiwapiku Sam Surridge wa Nashville...
Cape Verde yafuzu Kombe la Dunia, Arajiga akisimama kati Cape Verde limekuwa taifa la sita Afrika kukata tiketi ya kushiriki Fainali za Kombe la Dunia 2026 baada ya leo, Oktoba 13, 2025 kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 nyumbani dhidi ya Eswatini.
Cristhian Mosquera apewa mchongo Colombia BEKI wa kati, Cristhian Mosquera huenda akabadilisha soka lake la kimataifa kutoka Hispania hadi Colombia baada ya kufanya vizuri kabisa Ligi Kuu England akiwa na kikosi cha Arsenal
Yas yaunga mkono Kilimanjaro Marathon 2026 Kampuni ya mawasiliano ya Yas imeonesha tena dhamira yake katika kuendeleza michezo na utalii nchini baada ya kushiriki kwenye uzinduzi rasmi wa maandalizi ya Kilimanjaro International Marathon...
Scott Carson astaafu vizuri Man City ALIYEKUWA kipa wa Manchester City, Scott Carson ametangaza kustaafu soka la kulipwa.
Kompyuta yaipa Arsenal ubingwa ARSENAL imepewa nafasi kubwa ya kushinda ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu huu.
Joto la El Clasico, vipimo kuamua hatma ya Jules Kounde Mabingwa wa Hispania, FC Barcelona, huenda wakamkosa beki wa pembeni kutoka Ufaransa, Jules Kounde, kwenye mechi ya El Clasico, itakayopigwa kesho Jumapili, Oktoba 26, 2025 kwenye Uwanja wa...
Vinicius Jr aibuka shujaa Real Madrid ikiipiga Villarreal Vinicius Junior amefunga mabao mawili huku Real Madrid ikirejea kwenye njia ya ushindi baada ya kipigo cha fedheha kutoka kwa majirani zao Atletico Madrid wiki iliyopita, kwa kuichapa Villarreal...
Arteta afafanua ishu ya Odegaard, Rice KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amesema kapteni wa timu yake, Martin Odegaard pamoja na kiungo Declan Rice walioshindwa kuendelea katika mechi dhidi ya West Ham wamepata majeraha ambayo...