Clippers yamtema Chris Paul NBA LOS Angeles Clippers wameachana na Chris Paul katika mazingira yaliyoacha maswali kwa mashabiki wanaofuatilia Ligi ya Kikapu Marekani (NBA).
Gyokeres akusanya kijiji chake STRAIKA, Viktor Gyokeres ameteka mioyo na akili za mashabiki wa Arsenal.
Je Zipi ni Bonasi Maarufu Zaidi za Michezo ya Kubashiri Nchini? Bonasi za kubashiri ni fedha za ziada zinazotolewa kama zawadi na kampuni za kubashiri kumpa nguvu mchezaji/mwekezaji. Zinakuja katika njia mbalimbali, kwa sababu kila kampuni hujaribu...
Mambo mawili yashika mkataba wa Rashford NDO hivyo. Suala la Barcelona kumbeba jumla Marcus Rashford limedaiwa kuwagawa mabosi wa timu hiyo na hivyo kulifanya jambo hilo kubaki njiapanda.
Mastaa mtegoni, Gamondi akiita 53 Taifa Stars Kocha Mkuu wa timu ya soka ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars', ametangaza kikosi cha awali cha wachezaji 53 kwa ajili ya kuanza maandalizi ya Fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025, uteuzi...
Haaland aandika rekodi mpya England STRAIKA wa Manchester City, Erling Haaland amekuwa mchezaji aliyefikisha mabao 100 kwa haraka zaidi ya mchezaji mwingine yeyote katika historia ya Ligi Kuu England.
Bosi Bayern afichua kipengele cha Kane RAIS wa heshima wa Bayern Munich, Uli Hoeness amefichua kwamba kipengele kinachotaja bei anayouzwa straika Harry Kane kitafika ukomo wake mwishoni mwa Januari 2026.
Rio: Gerrard jiandae kuichukua Liverpool RIO Ferdinand amemwambia staa mwenzake wa zamani wa England, Steven Gerrard kwamba ajiandae kwa ajili ya kupokea simu kutoka kwa mabosi wa Liverpool kwenda kuokoa jahazi kutokana na presha...
Mohbad kuzikwa baada ya matokeo ya DNA Baba wa marehemu mwanamuziki Ilerioluwa Aloba “Mohbad”, Joseph Aloba, ameweka wazi kuwa sababu pekee inayochelewesha mazishi ya mwanawe ni kukamilika kwa kipimo cha DNA cha mtoto wa Mohbad.
MASON; Dogo bingwa wa dunia mwenye ngumi za 'chuma' ALIZALIWA Aprili 5, 2004 katika jiji dogo la Bedford, Ohio, Marekani. Lakini unaposoma hapa miaka 21 ya uhai wake duniani imetosha kushinda mapambano 20 aliyopigana, akishinda 17 kwa knockout...