Mtanzania asaini minne kucheza Serbia Aliyekuwa nahodha wa timu ya Taifa chini ya miaka 17 katika michuano ya ya Mataifa Afrika Morice Abraham amesaini mkataba wa miaka 4 na klabu ya FK Spartak Subotica inayoshiriki Ligi Kuu ya...
Safu ya ushambuliaji Yanga balaa YANGA imekamilisha usajili wa safu yao ya ushambuliaji baada ya kumleta nchini straika wao wa zamani Heritier Makambo ‘Mzee wa Kuwajaza’. Makambo aliyejipatia umaarufu kufuatia staili yake ya...
Kazadi aisaka rekodi ya Nchimbi UNAKUMBUKA Ditram Nchimbi alicheza mwaka mzima bila kufunga bao katika Ligi Kuu Bara akiwa na Yanga? Sasa nyota wa Singida Big Stars, Francis Kazadi anaanza kuinyemelea rekodi hiyo kutokana na...
Fri-kiki za Morrison balaa UNALIKUMBUKA lile bao la frii-kiki ambalo kipa, Aishi Manula alitunguliwa na winga Benard Morisson wakati huo akicheza katika kikosi cha Yanga kwenye mechi ya dabi duru la pili msimu iliyopigwa...
GSM rasmi Yanga MFADHILI wa klabu ya Yanga, Ghalib Mohamed amewaongoza wanachama wa klabu hiyo kuanza kupokea kadi zao mpya za utambulisho wa wanachama huku naye akiwa mwanachama rasmi. Ghalib alipokea kadi...
Manji rasmi Yanga, kuibukia mkutanoni Jumapili NI rasmi kwamba Mwenyekiti wa zamani wa Yanga, Yusuf Manji yuko njiani kurejea Jangwani na Mwanaspoti limejiridhisha kwamba amelipia kadi yake ya uanachama Ijumaa iliyopita Jijini Dar es Salaam.
Mukoko aigomea Yanga, GSM aingilia kati DILI la kiungo na nahodha msaidizi wa Yanga, Mukoko Tonombe kwenda TP Mazembe ya DR Congo, limekufa baada ya nyota huyo kugoma kutolewa kwa mkopo katika klabu hiyo, huku bilionea wa klabu hiyo...
Mbowe: Yanga mmeliheshimisha Taifa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amewapa matumaini wachezaji na viongozi wa Yanga kwa kushindwa kutwaa taji la Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC). Yanga...
Tanzania, Sudani Kusini hakuna mbabe DAKIKA 45 za kipindi cha kwanza zimemalizika kwa timu ya Tanzania kutoka sare ya 0-0 dhidi ya Sudani Kusini katika mchezo wa nusu fainali ya kombe la CECAFA kwa vijana chini ya miaka 23 mchezo...
Yanga yamfungulia mlango Fei Toto Uongozi wa Yanga leo Machi 6, 2023 umemwandikia barua mchezaji Feisal Salum 'Fei Toto' kumtaka aripoti kambini haraka iwezekanavyo na kuendelea kuutumikia mkataba wake kama mchezaji halali wa...