Ushindi dabo dabo na Parimatch Kampuni ya michezo ya kubahatisha Parimatch mara baada ya kumaliza kufanya uzinduzi mkubwa wa kuidhamini Klabu ya Mbeya City inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara katika siku chache zilizopita...
Kagere azua jambo Simba STRAIKA Meddie Kagere amekuwa mmoja wa mastraika wa kwanza wa Simba wanaotajwa kupigwa chini, lakini upepo umebadilika baada ya kuwagawa mabosi wa klabu hiyo katika makundi mawili, upande mmoja...
Uchaguzi Yanga wazidi kunoga MBIO za Uchaguzi Mkuu wa Yanga wa kuwania nafasi mbalimbali za uongozi wa klabu hiyo kongwe nchini, umezidi kunoga kwa wagombea waliojitokeza kuchukua fomu watakaporudisha mchana huu. Uchaguzi wa...
Pablo: Hakuna pengo Simba Maisha ya Bernard Morrison yamefikia mwisho ndani ya kikosi cha Simba. Kocha wa Simba, Pablo Franco amewatoa hofu mashabiki kwamba hakutakuwa na pengo lolote kikosini. “Katika mechi na Pamba...
Gama Gaming kusimamia Afya za Kinamama MENEJA wa Tehama wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha (GBT), Kabora Mboya ameyataka makampuni ya kubahatisha nchini kuhakikisha wanawalinda wachezaji wa mchezo huo ili waweze kupata haki zao ili...
Mgunda aibukia kwa vijana Simba HUKO Simba hali sio shwari kwa aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Juma Mgunda baada ya kuonekana akiwa na kikosi cha vijana. Mwanaspoti limemshuhudia Mgunda akiwa kwenye Uwanja wa Meja Jenerali...
Mkwasa asaka mrithi wa Edward Manyama KOCHA Mkuu wa Ruvu Shooting, Boniface Mkwasa amesema amekabidhi ripoti kwa uongozi wa timu hiyo na kuonyesha nafasi sita za usajili ikiwemo mrithi wa Edward Manyama aliyekuwa beki wao wa kushoto...
Msuva azikwepa Simba, Yanga Mabingwa wa Kombe la Klabu Bingwa Barani Afrika Al Ahly (Misri), Es Tunis (Tunisia) na Wydad Casablanca (Morocco) ndio timu tatu pekee ambazo Barani Afrika ambazo hazitaanzia katika hatua ya...
Mamelodi yachungulia nusu fainali Caf TIMU mbili kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika zimepoteza michezo yao nyumbani, huku mechi za pili zikionekana kuwa za moto zaidi.
Bao la Luis Miquissone lamweka pabaya Pitso Ahly Kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa Simba, Jumanne iliyopita kimemuweka katika wakati mgumu kocha wa Al Ahly, Pitso Mosimane ndani ya klabu hiyo kikionekana kutouridhisha uongozi wa timu hiyo.