Mastaa hawa ushindi upo mikononi mwao kama wakiamua kujitoa kwa asilimia kubwa kuipambania timu basi KMC itakuwa shoo shoo. MTIBWA SUGAR Wanatuliani hawa hali yao imekuwa mbaya misimu miwili iliyopita na msimu huu haijapata ushindi...
WANAUME: Chama la kibabe la wakomaaji WACHEZAJI wa kigeni wameendelea kuwa tishio katika vikosi vya timu zetu kutokana na kuwa siriaz kazini tofauti na wachezaji wetu wengi, lakini kuna wazawa hao hawataki utani. Wanakomaa nao.
Kutoka Manara hadi Samatta WAKATI taifa likijiandaa kuadhimisha miaka 60 ya Uhuru Desemba 9, Watanzania wameshuhudia mambo mengi yaliyojitokeza, hususan wazawa wanavyopambana kucheza nje ya nchi.
Kwani nyie mnatakaje? BAADA ya Yanga kumtambulisha Cedrick Kaze jana jioni kama Kocha Msaidizi na Mwinyi Zahera kama Mkurugenzi wa Ufundi, tambo zilianzia pale klabuni Jangwani huku wakiwatambia wenzao wa Simba kwamba ;
Hapa kuna vita nzito! NAMBA hazidanganyi hata kidogo! Angalia kikosi kipya cha Simba, kisha angalia maingizo mapya katika eneo la mbele ndio utajua Msimbazi msimu huu wamepania maradufu.
Cheki usajili mzima wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2021-2022 ) Mpiana Mozinzi Yakub Mohamed Ally Niyonzima KAGERA SUGAR Walioingia Said Morad Stephen Duah Yusuph Dunia Abeid Athuman Meshack Abraham Waliotoka Benedictor Tinocco Haroun Mussa Hassan...
Kagera Sugar yatema nane akiachana nao na nafasi yake kuchukuliwa na Francis Baraza ambaye amemaliza nao msimu. Katibu Mkuu wa timu hiyo, Masoud Ally amethibitisha kutowaongezea nyota nane kutokana na mapendekezo ya...
Mganda Biashara United apewa zigo kwa Yanga . Kikosi cha Biashara United hiki; James Ssetuba Boniface Maganga Mpapi Nassib Leny Kisu Abdulmajid Mangalo Ibrahim Ndunguli Ally Kombo Ramadhan Chombo Yusuph Athuman Benson Masige...
Presha za kina Sarpong ziwaamshe Azam FC miundo mbinu na uwekezaji. Ukiangalia vikosi vya Azam kwa miaka yote ya uwepo wao katika Ligi Kuu, ikiwamo cha sasa wamekuwa wakisajili nyota wenye uwezo mkubwa na kufundishwa na makocha wakubwa...
Serengeti Boys kuondoka leo Nyamkindo, Kassim Ibrahim Yahya, Ismail Mpank Bombama, Hijjah Shamte Lidah, Ladaki Juma Chasambi, Kamli Jesto Masanja, Abdallah Mussa Libandika na Abubakar Ramadhan Lubotile ndio...