Kocha Pyramids aiwazia Azam FC KOCHA wa Pyramids FC ya Misri inayokipiga na Azam FC Jumamosi saa 9 mchana jijini Dar es Salaam, amesema wanacheza mechi hiyo kwa tahadhari kubwa. Pyramids ambao wapo nchini tayari kocha wao...
Mandoga apeleka Mlungambunga Kenya KARIM Mandonga 'Mtu Kazi' ametangaza kiama kwa bondia maarufu nchini Uganda, Kenneth Lukyamuzi atakayepambana naye Machi 25 kwenye Ukumbi wa KICC, jijini Nairobi, Kenya.
ZFF yang’atwa sikio idadi waamuzi SHIRIKISHO la Soka Zanzibar (ZFF) limeshauriwa kufanya mafunzo ya mara kwa mara kwa waamuzi ili kupata wale watakaoendana na idadi ya mechi zinazochezwa. Ushauri huo umetolewa na Katibu Msaidizi...
Ahmed: Hatuna cha kujivunia, tukutane msimu ujao Siku moja baada ya tuzo kwa waliofanya vizuri msimu wa 2022/23 kutolewa, Meneja Habari wa Simba, Ahmed Ally amesema washahitimisha rasmi msimu. Kupitia Instagram Ahmed amewapongeza waliotwaa...
Kaizer watamba kushambulia KOCHA Msaidizi wa Kaizer Chiefs, Dillon Sheppard amedai kwamba watatia chumvi kwenye kidonda cha Simba leo kwenye Uwanja wa Mkapa. Amesisitiza kwamba hawajaja Tanzania kuzuia na kwamba...
Kamwaga: msinifananishe na Manara SIKU moja baada ya kuteuliwa na uongozi wa Simba kuwa Kaimu Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano, Ezekiel Kamwaga amesema kuwa asifananishwe na msemaji aliyeondoka klabuni Haji Manara katika...
Yondani awavuruga vigogo Geita MABOSI wa Geita Gold wamekuwa na vikao vya mara kwa mara huku ajenda kubwa ikiwa ni kujadili maboresho ya kikosi chao katika dirisha dogo pamoja na kuanza mikakati ya kuwabakisha wachezaji ambao...
Mangungu: Tufanye kampeni za hoja Mgombea nafasi ya Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Murtaza Mangungu amewataka wagombea kufanya kampeni na kujenga hoja pasipo kuanzisha vurugu. Mangungu ambaye anatetea kiti chake katika uchaguzi...
Yanga yamkosa Mosimane Kocha Pitso Mosimane raia wa Afrika Kusini ikiwa imepita siku mbili baada ya kuachia barua ya kuthibitisha kuondoka klabu ya Al Ahli ya Saudi tayari amepata timu mpya. Mosimane ambaye...
Yanga yazitaka rekodi Ligi ya Mabingwa Kesho katika uwanja wa Azam Complex utachezwa mchezo wa ligi ya Mabingwa barani Afrika mchezo utakao wakutanisha mabingwa wa ligi ya Djibouti ASAS na mabingwa wa ligi ya Tanzania Yanga.