Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8747 results for Mwandishi :

  1. Kocha Pyramids aiwazia Azam FC

    KOCHA wa Pyramids FC ya Misri inayokipiga na Azam FC Jumamosi saa 9 mchana jijini Dar es Salaam, amesema wanacheza mechi hiyo kwa tahadhari kubwa. Pyramids ambao wapo nchini tayari kocha wao...

  2. Mandoga apeleka Mlungambunga Kenya

    KARIM Mandonga 'Mtu Kazi' ametangaza kiama kwa bondia maarufu nchini Uganda, Kenneth Lukyamuzi atakayepambana naye Machi 25 kwenye Ukumbi wa KICC, jijini Nairobi, Kenya.

  3. ZFF yang’atwa sikio idadi waamuzi

    SHIRIKISHO la Soka Zanzibar (ZFF) limeshauriwa kufanya mafunzo ya mara kwa mara kwa waamuzi ili kupata wale watakaoendana na idadi ya mechi zinazochezwa. Ushauri huo umetolewa na Katibu Msaidizi...

  4. Ahmed: Hatuna cha kujivunia, tukutane msimu ujao

    Siku moja baada ya tuzo kwa waliofanya vizuri msimu wa 2022/23 kutolewa, Meneja Habari wa Simba, Ahmed Ally amesema washahitimisha rasmi msimu. Kupitia Instagram Ahmed amewapongeza waliotwaa...

  5. Kaizer watamba kushambulia

    KOCHA Msaidizi wa Kaizer Chiefs, Dillon Sheppard amedai kwamba watatia chumvi kwenye kidonda cha Simba leo kwenye Uwanja wa Mkapa. Amesisitiza kwamba hawajaja Tanzania kuzuia na kwamba...

  6. Kamwaga: msinifananishe na Manara

    SIKU moja baada ya kuteuliwa na uongozi wa Simba kuwa Kaimu Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano, Ezekiel Kamwaga amesema kuwa asifananishwe na msemaji aliyeondoka klabuni Haji Manara katika...

  7. Yondani awavuruga vigogo Geita

    MABOSI wa Geita Gold wamekuwa na vikao vya mara kwa mara huku ajenda kubwa ikiwa ni kujadili maboresho ya kikosi chao katika dirisha dogo pamoja na kuanza mikakati ya kuwabakisha wachezaji ambao...

  8. Mangungu: Tufanye kampeni za hoja

    Mgombea nafasi ya Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Murtaza Mangungu amewataka wagombea kufanya kampeni na kujenga hoja pasipo kuanzisha vurugu. Mangungu ambaye anatetea kiti chake katika uchaguzi...

  9. Yanga yamkosa Mosimane

    Kocha Pitso Mosimane raia wa Afrika Kusini ikiwa imepita siku mbili baada ya kuachia barua ya kuthibitisha kuondoka klabu ya Al Ahli ya Saudi tayari amepata timu mpya. Mosimane ambaye...

  10. Yanga yazitaka rekodi Ligi ya Mabingwa

    Kesho katika uwanja wa Azam Complex utachezwa mchezo wa ligi ya Mabingwa barani Afrika mchezo utakao wakutanisha mabingwa wa ligi ya Djibouti ASAS na mabingwa wa ligi ya Tanzania Yanga.

Previous

Page 230 of 875

Next