Oleksandr Usyk kuzichapa na nguli wa Kickboxing Mfalme asiyepingika wa uzani wa juu duniani, Oleksandr Usyk, atarejea ulingoni wikiendi hii Mei 23, 2026 kukabiliana na bingwa wa zamani wa dunia wa mchezo wa kickboxing, Rico Verhoeven, katika...
Carrick ipongeza Arsenal, akithibisha kupewa mkataba wa kudumu Man United Kocha wa mpito wa Manchester United, Michael Carrick, amethibitisha kwa vitendo kuwa atateuliwa kuwa kocha mkuu wa kudumu wa klabu hiyo, huku tangazo rasmi likicheleweshwa na mchakato wa...
MCL yazindua mwongozo wa matumizi ya AI KAMPUNI ya Mwananchi Communications (MCL), imezindua mwongozo wa matumizi ya akili unde (AI), katika shughuli zake za uhariri na uendeshaji wa majukwaa yake mbalimbali.
Kisa Arsenal, Ferguson aitumia meseji PSG KOCHA wa zamani wa Manchester United, Sir Alex Ferguson, amewatumia ujumbe mabosi wa PSG akiwaambia kuwa timu yao ilistahili kutwaa ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Arsenal.
FIFA yaja na kanuni mpya Kombe la Dunia 2026 SHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (FIFA), limeamua kuzuia wachezaji kwenda kwenye eneo la kiufundi kuzungumza na makocha wao wakati mlinda mlango akitibiwa majeraha katika michuano ya Kombe la...
Luke Littler ‘alipuka’ Usyk kumshinda Verhoeven kwa utata Mchezaji nyota wa mchezo wa mishale (darts), Luke Littler, ametoa ya moyoni kuhusu ushindi wa Oleksandr Usyk dhidi ya Rico Verhoeven katika pambano lililounguruma nchini Misri Jumamosi, Mei 23...
Vigogo Italia wakabana kufuzu Ligi ya Mabingwa Pazia la Ligi Kuu Italia ‘Serie A’ 2025/26 litafungwa kesho macho yote yapo kwa timu nne zinazowania nafasi ya kufuzu Ligi ya Mabingwa msimu ujao.
Staa Olympiacos, Ugiriki afariki dunia Soka la Ugiriki limeingia katika majonzi baada ya kifo cha beki wa zamani wa kati wa timu ya taifa ya nchi hiyo na klabu ya Olympiacos, Paraskevas Antzas, aliyefariki dunia akiwa na umri wa miaka...
Luis Díaz kuiongoza Colombia Kombe la Dunia 2026, James Rodríguez naye ndani Mshambuliaji Luis Díaz, amejumuishwa katika kikosi cha mwisho cha wachezaji 26 watakaoliwakilisha taifa la Colombia kwenye michuano ya Kombe la Dunia 2026, itakayounguruma nchini Marekani, Mexico...
Alphonso Davies kukosa mechi ya kwanza Kombe la Dunia 2026 Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Canada, Jesse Marsch, ametoa taarifa ya kina kuhusu hali ya afya ya nyota wa kikosi hicho, Alphonso Davies ambaye anaendelea kupatiwa matibabu ili kuwahi michuano...