Simba yapanda nafasi ya pili ikiichapa TRA United Klabu ya Simba imeibuka na ushindi wa mabao 3-0 katika mchezo wa Ligi Kuu Bara ambapo timu hiyo sasa imesogea hadi nafasi ya pili katika msimamo wa ligi ikifikisha pointi 31 ikiishusha Azam FC...
Mastaa Waafrika LaLiga kuwania tuzo Afrika LIGI Kuu Hispania (LaLiga) imetangaza orodha ya wachezaji walioteuliwa kuwania tuzo ya Sporty LaLiga MVP 2025/26, inayotambua mchezaji bora kutoka Afrika eneo la Kusini mwa Jangwa la Sahara...
Welbeck apita njia ya Ibrahimovic EPL MSHAMBULIAJI wa Brighton, Danny Welbeck amefanikiwa kufikia jambo ambalo ni wachezaji wawili tu wengine katika historia ya Ligi Kuu England wamewahi kulifanya, baada ya kufunga dhidi ya Liverpool.
Jurgen Klopp akanusha uvumi wa kuinoa Real Madrid KOCHA wa zamani wa Liverpool, Jurgen Klopp amekanusha taarifa za kurejea kufundisha soka zinazomhusisha na Real Madrid, “hazina ukweli wowote.”
Salah atangaza kuondoka Liverpool, atajwa kutua Al Ittihad Mshambualiaji Mohamed Salah (33), leo Jumanne ametangaza rasmi kuwa ataachana na Liverpool baada ya msimu huu kumalizika.
Nyota Scotland ataka Wirtz apigwe bei NYOTA wa zamani wa Scotland, Craig Burley, ameishauri Liverpool kufikiria kumuuza kiungo mshambuliaji Florian Wirtz kutokana mwanzo mgumu wa maisha yake katika Uwanja wa Anfield.
Barcelona kuuza, kununua straika BARCELONA inapanga kufanya mabadiliko makubwa katika safu yake ya ushambuliaji katika dirisha lijalo la usajili la majira ya kiangazi, mpango unaohusisha kusikiliza ofa kwa ajili ya kumuuza...
Picha ya mkongwe kikapu yawekwa katika mpira NYOTA wa kikapu wa aliyetamba na Pazi msimu uliopita wa Ligi ya Kikapu Dar es Salaam, Josephat Peter 'Tekenya' amekuwa mchezaji wa kwanza wa mchezo huo picha yake kutumika kama logo kwenye mpira.
Eric Chelle aitega NFF, awasilisha masharti 19 Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Nigeria maarufu Super Eagles, Eric Chelle, amewatia wasiwasi wapenzi wa soka wa nchi hiyo baada ya kuweka masharti 19 muhimu kabla ya kusaini mkataba mpya na...
Hervé Renard ajutia uamuzi wa kuiacha Morocco Kocha raia wa Ufaransa, Hervé Renard, amekiri kuwa kujiuzulu kwake kama kocha mkuu wa timu ya taifa ya Morocco mwaka 2019 ilikuwa ni uamuzi wa makosa kwani alipaswa kuendelea hadi mwisho wa...