Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

7952 results for Mwandishi Wetu :

  1. Pep Guardiola, Semenyo lolote linatokea

    PEP Guardiola atakuwa bize dirisha la Januari huku staa Antoine Semenyo akiripotiwa kuwa kwenye orodha ya wachezaji inayopanga kuwasajili katika uhamisho huo wa majira ya baridi huko Ulaya.

    PEP Pict
  2. Gary Neville ashangaa ujuzi wa Amorim

    GARY Neville amesema Ruben Amorim amechezesha kikosi cha ajabu sana cha Manchester United kuwahi kukiona wakati miamba hiyo ya Old Trafford ilipopambana kushinda 1-0 dhidi ya Newcastle United...

    NEVILLE Pict
  3. Dili za kuibua vita dirisha la Januari 2026

    DIRISHA la usajili wa mastaa wa soka la Januari limebakiza siku chache tu kufunguliwa ili kuzipa nafasi klabu za Ligi Kuu England kuboresha vikosi vyao kwa ajili ya kumaliza msimu kwa kishindo.

    DIRISHA Pict
  4. Hawa wamefunika mechi za kwanza AFCON 2025

    KWENYE Boxing Day kulipigwa mechi nne za Afcon 2025, zilizokuwa za pili kwenye makundi wakati vigogo wa soka la Afrika walipoonyesha ubabe uwanjani kujaribu kufahamu hatima zao za kutinga raundi...

    AFCON Pict
  5. Ligi Kuu England imefikia patamu, sasa ni ‘weka, niweke’

    HUKO kwenye Ligi Kuu England msako wa ubingwa wa taji hilo ni jino kwa jino. Weka niweke.

    EPL Pict
  6. Hawa ndio wababe wa Mapinduzi Cup

    MSIMU wa 20 wa michuano ya Kombe la Mapinduzi unatarajiwa kuanza rasmi kesho wakati timu za Kundi A zitakazopokuwa zikikata utepe wa mwaka 2026 katika msako wa taji la michuano hiyo ambalo kwa...

    MAPINDUZI Pict
  7. Misri yatangulia mtoano Afcon 2025

    MKWAJU wa penalti uliopigwa na Mohamed Salah kwenye kipindi cha kwanza umeisaidia Misri iliyokuwa na wachezaji 10 uwanjani kuichapa Afrika Kusini 1-0 katika mchezo wa Kundi B uliofanyika Agadir,...

    MISRI Pict
  8. Beki Arsenal atuma ujumbe mzito kwa wenzake

    BEKI wa kati wa Arsenal, William Saliba amewaambia wachezaji wenzake: Sasa ni muda wa kubeba mataji.ruhi watarudi Januari kutusaidia kwa sababu tupo kwenye kila mashindano na tunataka kufanya...

    SALIBA Pict
  9. AFCON 2025: Angola, Zimbabwe zagawana pointi

    WASHAMBULIAJI Gelson Dala na Knowledge Musona kila mmoja alitupia nyavuni wakati Angola na Zimbabwe zilipogawana pointi kwenye mechi yao ya pili ya Kundi B katika mashindano ya Afcon 2025...

    AFCON Pict
  10. Napoli bado inamtaka Mainoo, Man United yamzuia ikitaja sababu

    KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim anadaiwa kuzuia mpango wa kuondoka kwa kiungo wao, Kobbie Mainoo dirisha lijalo la majira ya baridi licha ya kuhusishwa kuondoka.

    FUNUNU Pict
Previous

Page 205 of 796

Next