Pep Guardiola, Semenyo lolote linatokea PEP Guardiola atakuwa bize dirisha la Januari huku staa Antoine Semenyo akiripotiwa kuwa kwenye orodha ya wachezaji inayopanga kuwasajili katika uhamisho huo wa majira ya baridi huko Ulaya.
Gary Neville ashangaa ujuzi wa Amorim GARY Neville amesema Ruben Amorim amechezesha kikosi cha ajabu sana cha Manchester United kuwahi kukiona wakati miamba hiyo ya Old Trafford ilipopambana kushinda 1-0 dhidi ya Newcastle United...
Dili za kuibua vita dirisha la Januari 2026 DIRISHA la usajili wa mastaa wa soka la Januari limebakiza siku chache tu kufunguliwa ili kuzipa nafasi klabu za Ligi Kuu England kuboresha vikosi vyao kwa ajili ya kumaliza msimu kwa kishindo.
Hawa wamefunika mechi za kwanza AFCON 2025 KWENYE Boxing Day kulipigwa mechi nne za Afcon 2025, zilizokuwa za pili kwenye makundi wakati vigogo wa soka la Afrika walipoonyesha ubabe uwanjani kujaribu kufahamu hatima zao za kutinga raundi...
Ligi Kuu England imefikia patamu, sasa ni ‘weka, niweke’ HUKO kwenye Ligi Kuu England msako wa ubingwa wa taji hilo ni jino kwa jino. Weka niweke.
Hawa ndio wababe wa Mapinduzi Cup MSIMU wa 20 wa michuano ya Kombe la Mapinduzi unatarajiwa kuanza rasmi kesho wakati timu za Kundi A zitakazopokuwa zikikata utepe wa mwaka 2026 katika msako wa taji la michuano hiyo ambalo kwa...
Misri yatangulia mtoano Afcon 2025 MKWAJU wa penalti uliopigwa na Mohamed Salah kwenye kipindi cha kwanza umeisaidia Misri iliyokuwa na wachezaji 10 uwanjani kuichapa Afrika Kusini 1-0 katika mchezo wa Kundi B uliofanyika Agadir,...
Beki Arsenal atuma ujumbe mzito kwa wenzake BEKI wa kati wa Arsenal, William Saliba amewaambia wachezaji wenzake: Sasa ni muda wa kubeba mataji.ruhi watarudi Januari kutusaidia kwa sababu tupo kwenye kila mashindano na tunataka kufanya...
AFCON 2025: Angola, Zimbabwe zagawana pointi WASHAMBULIAJI Gelson Dala na Knowledge Musona kila mmoja alitupia nyavuni wakati Angola na Zimbabwe zilipogawana pointi kwenye mechi yao ya pili ya Kundi B katika mashindano ya Afcon 2025...
Napoli bado inamtaka Mainoo, Man United yamzuia ikitaja sababu KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim anadaiwa kuzuia mpango wa kuondoka kwa kiungo wao, Kobbie Mainoo dirisha lijalo la majira ya baridi licha ya kuhusishwa kuondoka.