VITA BADO MBICHI: Sare ya Arsenal kicheko kwa Man City SARE ya mabao 2-2 dhidi ya Wolves ugenini, imezidisha utamu katika mbio za kuwania ubingwa wa Ligi Kuu England, baada ya Arsenal kudondosha pointi mbili na kufanya pengo dhidi ya wapinzani wao wa...
Kwa nini ni wakati sahihi kwa TFF kupata mshirika wa kamari? Wadau wa soka wanasema kuwa sasa ni wakati mwafaka kwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kushirikiana rasmi na kampuni ya kamari kama sehemu ya jitihada za kuhuisha uongozi na kufungua vyanzo...
Arsenal yateleza, Manchester City yapata pumzi mpya EPL Sare ya mabao 2-2 kati ya Arsenal na Wolverhampton imeacha maumivu makubwa kwa mashabiki wa Arsenal, hasa ikizingatiwa uzito wa alama zilizopotea katika nyakati muhimu msimu wa Premier League.
Ngoma nzito: Hapa Mkongomani, kule Saleh Karabaka LIGI Kuu Bara imesimama kupisha mechi za Kombe la Shirikisho (FA), lakini kama hujui ni kwamba hadi sasa zimeshachezwa mechi 102 kati ya 240, huku ikishuhudiwa mabao 185 kati ya 188 yakitinga...
Wilfred Kidao apata shavu TRA United ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wilfred Kidao, ni miongoni mwa wajumbe nane wanaounda Bodi ya Usimamizi wa TRA United SC inayoongozwa na Mwenyekiti wake...
Manchester United yatoa msimamo kuhusu Rashford MANCHESTER United imesisitiza kuwa haina mpango wa kushusha bei ya Pauni 26 milioni iliyoiweka kwa mshambuliaji wa kimataifa wa England, Marcus Rashford, 28, ambaye kwa sasa yuko kwa mkopo...
Laporta, Raphinha walalamika Barcelona RAIS wa Barcelona, Joan Laporta, amesema kuna njama za kuizuia klabu hiyo kushinda ligi kufuatia kile kilichotokea dhidi ya Girona.
Amad Diallo ampigia debe Michael Carrick kimtindo STAA wa Manchester United, Amad Diallo, amesisitiza umuhimu wa Michael Carrick kufuatia kuimarika kwa kiwango cha timu hiyo maarufu kama Mashetani Wekundu. Kiungo huyo wa zamani alikabidhiwa...
Wewe ni mchezaji unayefunga swaumu, soma hapa! KWA mara nyingine, waumini wa dini ya Kiislam na Kikristo wameingia katika kipindi muhimu cha ibada ya kufunga kama wanavyohimizwa na dini zao.