Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

7951 results for Mwandishi Wetu :

  1. Kimeumana… Ligi Kuu England moto unawaka

    BAADA ya timu zote tatu zinazoshika nafasi za juu katika Ligi Kuu England kushinda mechi zao Jumamosi, vita ya kuliwania taji la ligi hiyo msimu huu imeendelea kupamba moto.

    EPL Pict
  2. Tuzo mpya ya mchezaji bora wa mechi gumzo

    TUZO mpya ya Mchezaji Bora wa Mechi (Man of the Match) imeanza kutolewa rasmi katika Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025, huku ikizidi kuwa gumzo kutokana na kupokewa vyema kwa sifa za muundo...

    TUZO Pict
  3. Morocco, Misri zafunika AFCON 2025

    ACHANA na uwezo wa vikosi vyao katika michuano ya 35 ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 inayoendelea Morocco, lakini wenyeji pamoja na Misri wametajwa kama nchi zinazoanikiza kwa wingi...

    MANUFAA Pict
  4. Scholes amtaja mchezaji mbovu Man United

    NGULI wa Manchester United, Paul Scholes, ametaja usajili mbaya zaidi kuwahi kufanywa na klabu hiyo, huku akimkosoa aliyekuwa mchezaji mwenzake kwa kukosa uelewa wa mpira wa miguu

    SCHOLES Pict
  5. Msumbiji yashinda mechi ya kwanza ikiichapa Gabon

    MSUMBIJI imepata ushindi wa kibabe wa mabao 3-2 dhidi ya Gabon uwanjani Agadir na hivyo kuandikisha ushindi wao wa kwanza kwenye mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) na hivyo kujiweka...

    MSUMBIJI Pict
  6. Kocha Roma abonga na Zirkzee, Man Utd mh!

    STRAIKA wa Manchester United, Joshua Zirkzee, 24, amehakikishiwa kuwa atapewa nafasi kubwa ya kucheza katika kikosi cha kwanza cha AS Roma ikiwa atakubali kujiunga nao katika dirisha la majira ya...

    FUNUNU Pict
  7. Nathan Ake kutimkia Barcelona, Guardiola atajwa

    KOCHA wa Manchester City, Pep Guardiola anaripotiwa kuwa tayari kuisaidia klabu yake ya zamani, Barcelona, kwa kuidhinisha uhamisho wa nyota wa City, Nathan Ake kwenda kwa wababe hao.

    AKE Pict
  8. Cristiano Ronaldo bado tishio, afunga mwaka na rekodi yake

    STAA wa kimataifa wa Ureno, Cristiano Ronaldo amefikisha bao lake la 40 mwaka huu na kuendelea kusogea karibu na ndoto yake ya kufunga mabao 1,000 katika maisha yake ya soka.

    RONALDO Pict
  9. Vipigo vitatu Lakers vyatibua mambo

    VIPIGO vitatu mfululizo ilivyovipata Los Angeles Lakers dhidi ya Houston Rokects, Los Angeles Clippers na Phoenix Suns kabla ushindi dhidi ya Utah Jazz vimebakiza donge kwa kocha wa kikosi hicho,...

    NBA Pict
  10. AFCON 2025: Gemu ya wakubwa!

    MSIMAMO wa Kundi F kwenye mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) unasoma, Ivory Coast, ambao ni mabingwa watetezi wanashika namba moja, pointi tatu baada ya mechi moja, wakifuatiwa na...

    AFCON Pict
Previous

Page 203 of 796

Next