Kimeumana… Ligi Kuu England moto unawaka BAADA ya timu zote tatu zinazoshika nafasi za juu katika Ligi Kuu England kushinda mechi zao Jumamosi, vita ya kuliwania taji la ligi hiyo msimu huu imeendelea kupamba moto.
Tuzo mpya ya mchezaji bora wa mechi gumzo TUZO mpya ya Mchezaji Bora wa Mechi (Man of the Match) imeanza kutolewa rasmi katika Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025, huku ikizidi kuwa gumzo kutokana na kupokewa vyema kwa sifa za muundo...
Morocco, Misri zafunika AFCON 2025 ACHANA na uwezo wa vikosi vyao katika michuano ya 35 ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 inayoendelea Morocco, lakini wenyeji pamoja na Misri wametajwa kama nchi zinazoanikiza kwa wingi...
Scholes amtaja mchezaji mbovu Man United NGULI wa Manchester United, Paul Scholes, ametaja usajili mbaya zaidi kuwahi kufanywa na klabu hiyo, huku akimkosoa aliyekuwa mchezaji mwenzake kwa kukosa uelewa wa mpira wa miguu
Msumbiji yashinda mechi ya kwanza ikiichapa Gabon MSUMBIJI imepata ushindi wa kibabe wa mabao 3-2 dhidi ya Gabon uwanjani Agadir na hivyo kuandikisha ushindi wao wa kwanza kwenye mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) na hivyo kujiweka...
Kocha Roma abonga na Zirkzee, Man Utd mh! STRAIKA wa Manchester United, Joshua Zirkzee, 24, amehakikishiwa kuwa atapewa nafasi kubwa ya kucheza katika kikosi cha kwanza cha AS Roma ikiwa atakubali kujiunga nao katika dirisha la majira ya...
Nathan Ake kutimkia Barcelona, Guardiola atajwa KOCHA wa Manchester City, Pep Guardiola anaripotiwa kuwa tayari kuisaidia klabu yake ya zamani, Barcelona, kwa kuidhinisha uhamisho wa nyota wa City, Nathan Ake kwenda kwa wababe hao.
Cristiano Ronaldo bado tishio, afunga mwaka na rekodi yake STAA wa kimataifa wa Ureno, Cristiano Ronaldo amefikisha bao lake la 40 mwaka huu na kuendelea kusogea karibu na ndoto yake ya kufunga mabao 1,000 katika maisha yake ya soka.
Vipigo vitatu Lakers vyatibua mambo VIPIGO vitatu mfululizo ilivyovipata Los Angeles Lakers dhidi ya Houston Rokects, Los Angeles Clippers na Phoenix Suns kabla ushindi dhidi ya Utah Jazz vimebakiza donge kwa kocha wa kikosi hicho,...
AFCON 2025: Gemu ya wakubwa! MSIMAMO wa Kundi F kwenye mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) unasoma, Ivory Coast, ambao ni mabingwa watetezi wanashika namba moja, pointi tatu baada ya mechi moja, wakifuatiwa na...