Carrick aandaa mbinu tatu kuiteka Hull City EPL MANCHESTER United itaanza safari yake ya msimu mpya wa Ligi Kuu England kwa kuikabili Hull City katika mchezo wao wa kwanza wa msimu utakaopigwa leo Jumamosi muda wa chakula cha mchana.
Serie A inavyorejea na maajabu mapya JE, Inter Milan itaweza kutetea ubingwa wa Ligi Kuu Italia (Serie A)? Ni timu zipi zitafuzu Ligi ya Mabingwa Ulaya? Na je, klabu zilizopanda daraja zitaweza kubaki katika ligi? Haya ni majibu ya...
Ngoma ngumu! Kocha Alonso akwepa swali la Enzo Fernandez Kocha wa Chelsea, Xabi Alonso, amekataa kutoa uhakika kwamba kiungo Enzo Fernandez ataendelea kubaki Stamford Bridge msimu huu wa joto, lakini anaamini mchezaji huyo anaweza kuwanyamazisha...
Tottenham yamnasa Savinho kutoka Man City TOTTENHAM Spurs imefikia makubaliano na Manchester City ya kumsajili winga wa Brazil, Savinho, kwa ada ya pauni 75milioni, huku kukiwa na uwezekano wa kuongeza pauni10 milioni kupitia bonasi...
Viungo wa pauni 150 milioni kuibeba Man United MANCHESTER United imefanya maboresho makubwa katika eneo la kiungo msimu huu, ikikamilisha mpango wa kuingiza wachezaji wapya watatu kwa gharama ya zaidi ya pauni150 milioni, huku kocha Michael...
Cheki utabiri chama lako EPL linavyoanza LIGI Kuu England (EPL), inaanza leo usiku. lakini Supercomputer ya Opta imetoa utabiri wake wa mechi za kwanza za msimu wa 2026/27, huku timu zote zikianza msimu mpya bila matokeo ya nyuma kubeba...
Atletico Madrid yampeleka Alvarez arsenal ATLETICO Madrid ipo tayari kumuuza mshambuliaji wake Julian Alvarez kwa Arsenal, lakini nyota huyo wa Argentina hana mpango wa kuhamia Emirates, kwa mujibu wa taarifa kutoka Hispania.
Ronaldinho arejea kusaka bao 300 GWIJI wa soka wa Brazil, Ronaldinho ametangaza kurejea uwanjani akiwa na umri wa miaka 46, akijiunga na Ravenna inayoshiriki Ligi Daraja la Tatu Italia (Serie C), huku akitamani kufikisha mabao...
Arsenal yaanza kwa Coventry City MABINGWA Arsenal itaanza kampeni yake ya kutetea taji la Ligi Kuu England leo, Ijumaa usiku kwa kuikaribisha Coventry City, iliyopanda daraja msimu huu, kwenye Uwanja wa Emirates.
Azam yaichapa TRA, rekodi yatibuliwa AZAM FC imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya TRA United katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa leo Alhamisi, Agosti 20, 2026, kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam, lakini ushindi...