Mvua, radi zatishia mechi ya Uholanzi na Tunisia MECHI ya Kombe la Dunia 2026 inayozikutanisha Uholanzi na Tunisia, ilikuwa katika hatari ya kuahirishwa dakika chache kabla ya kuanza baada ya mamlaka za hali ya hewa kuonya kuhusu uwepo wa mvua...
Ivory Coast yatinga 32 bora kibabe ikiichapa Curacao Mabao mawili ya mshambuliaji Nicolas Pepe yametosha kuihakikishia ushindi muhimu wa mabao 2-0 dhidi ya Curacao, ikifuzu hatua ya 32 bora kwenye Fainali za Kombe la Dunia.
'Hydration break' yazua mjadala Kombe la Dunia 2026 FAINALI za Kombe la Dunia 2026 zimeendelea kushika kasi Amerika Kaskazini, lakini muda mapumziko ya kunywa maji (hydration break) umezua mjadala.
Kocha Scotland akimbia mahojiano KOCHA wa Scotland, Steve Clarke, ameshindwa kuficha hasira zake baada ya timu yake kuchapwa mabao 3-0 na Brazil katika mchezo wa mwisho wa Kundi C wa Kombe la Dunia 2026, kiasi cha kuondoka...
Ujauzito waiponza Lazio TIMU ya wanawake ya Lazio imeamriwa kulipa fidia kwa kiungo wake wa zamani Maja Gothberg baada ya kubainika kuwa ilisimamisha ajira yake kinyume cha sheria kutokana na ujauzito wake.
Morocco yatinga 32 bora Kombe la Dunia, Haiti ikiaga USHINDI wa mabao 4-2 ilioupata timu ya taifa ya Morocco dhidi ya Haiti leo, umekifanya kikosi hicho kufuzu hatua ya 32 bora ya Kombe la Dunia, ikiwa ni taifa la kwanza kutinga hatua ya mtoano...
Brazil yaichapa Scotland, Neymar arudisha mzuka Brazil imefanikiwa kumaliza kinara wa kundi lake ikikata tiketi ya kutinga hatua ya 32 bora, ikiichapa Scotland kwa mabao 3-0, ikimaliza kibabe mechi za makundi.
Yanga, Simba zafuzu Ligi ya Mabingwa Yanga na Simba zimekata rasmi tiketi ya kushiriki Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao baada ya kila moja kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 katika mechi zilizocheza dhidi ya timu za Azam na Mtibwa...