Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

3746 results for Mwandishi Wetu :

  1. Bosi asema hii ya Wirtz ni aibu

    BOSI kubwa wa Borussia Dortmund, Hans-Joachim Watzke amekosoa uhamisho wa kiungo Florian Wirtz kuondoka Bayer Leverkusen kwenda kujiunga na Liverpool kuwa ni aibu kubwa Bundesliga kwa kupoteza...

    BOSI Pict
  2. Maresca amwaminia fundi Cole Palmer

    KOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca anaamini staa wa kikosi chake Cole Palmer atajipambanua miongoni mwa mastaa wakubwa kabisa kwenye soka la dunia wakati wa fainali za Kombe la Dunia la Klabu...

    MARESCA Pict
  3. Hawa jamaa ndo kiboko ya nyavu za uwanjani tangu mwaka 2000

    RAHA ya mechi bao, wanasema. Ndivyo ilivyo na ndio maana kwenye mchezo wa soka kila siku kumekuwa na marekebisho ya sheria mbalimbali ili kuona mechi zinakuwa na mvuto hasa kwenye ishu ya mabao...

    NYAVU Pict
  4. Mastaa nane kupigwa bei aje Gyokeres

    JUVENTUS imepanga kupiga bei mastaa wanane akiwamo straika Dusan Vlahovic na kiungo Douglas Luiz ili kumudu mshahara wa mchezaji mpya inayemtaka Viktor Gyokeres.

    MASTAA Pict
  5. Hojlund kuuzwa, Zirkzee kubaki

    MANCHESTER United imeripotiwa kuchukua uamuzi wa kumpiga chini Rasmus Hojlund, lakini Joshua Zirkzee atabaki kwenye kikosi hicho cha miamba ya Old Trafford.

    MAN UTD Pict
  6. Straika mpya Arsenal bado kizunguzungu

    ARSENAL sasa imebaki na uamuzi kwenye mikono yake wenyewe juu ya mastraika inayowasaka kwenye dirisha hili, ambapo kwenye meza yao kuna majina ya wakali wawili, Viktor Gyokeres na Benjamin Sesko.

    GYOKERES Pict
  7. PRIME Gwiji kasema! Gyokeres ni wa Man United tu

    STRAIKA gwiji, Alan Shearer anaamini Viktor Gyokeres atasaini kuichezea Manchester United licha ya sakata lake la usajili kuonekana kuwa gumu.

    SHEE Pict
  8. Hizi hapa mechi zilizozalisha mabao mengi Kombe la dunia la klabu

    KATIKA historia ya michuano ya Kombe la Dunia la Klabu, mabao yamekuwa si tu njia ya ushindi bali pia burudani halisi kwa mashabiki duniani kote.

    KAMBA Pict
  9. Waarabu wamwekea Victor Osimhen Sh2.6 bilioni kwa wiki

    AL-Hilal ya Saudi Arabia imeboresha ofa kwa mshambuliaji wa Napoli anayewindwa na Manchester United, Victor Osimhen, 26, ambapo imeweka mezani mshahara wa pauni 819,230 kwa wiki ambazo ni sawa...

    TETESI Pict
  10. Onana atumika kumshawishi Mbeumo

    KIPA wa Manchester United, Andre Onana ameripotiwa kutumia muda wake mwingi kumshawishi mchezaji mwenzake wa Cameroon, Bryan Mbeumo kujiunga na chama hilo linalonolewa na Ruben Amorim baada ya...

    ONANA Pict
Previous

Page 3 of 375

Next