Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

195 results for Kelvin Kagambo :

  1. TUONGEE KISHKAJI: Mashabiki wa Tanzania wana cha kujifunza Trace 2025

    TRACE Awards 2025 zilifanyika Zanzibar, Tanzania, wiki hii, lakini ukiingia kwenye mitandao ya kijamii kinachoongelewa ni nini? Ni kwamba wasanii wa Tanzania walitumbuiza vibaya, hovyo kabisa.

  2. TUONGEE KISHKAJI: Godzilla alikuwa anapigisha pindi wasanii wenzake

    NINAPOONGELEA ngoma zangu bora za wakati wote lazima niitaje 'Kila Wakati' ya Godzilla featuring G Nako. Ile ngoma ilikuwa ya moto na inawezekana ndiyo ngoma ya kwanza ambayo Godzilla alianza...

  3. TUONGEE KISHKAJI: Wasanii wa hip hop wanajua  kuchambua mambo, lakini..

    SINA lengo la kumshushia mtu heshima; ukweli mchungu ni lazima usemwe. Wasanii wa hip hop wa Tanzania ni vichwa kuliko wanaofanya muziki wa kuimba a.k.a wasanii wa Bongofleva kama tulivyozowea...

  4. TUONGEE KISHKAJI: Bongo Star Search ni Tunu ya Taifa

    NITAKUAMBIA kwa nini. Mara ya mwisho kuona kipindi cha TV kama Bongo Star Search (BSS) kinaanzia Tanzania kisha kinakuza mbawa zake kwenda nje ya mipaka ya TZ ni lini? Mimi hata sikumbuki.

  5. TUONGEE KISHKAJI: Mwaka usiishe bila kuwa na wasanii wa kike katika sanaa hizi mbili

    UKITAJA wasanii watano wakubwa wa kuimba Tanzania wanawake wapo. Ukitaja waigizaji wakubwa wa filamu Tanzania wanawake wapo.

    Kishkaji Pict
  6. TUONGEE KISHKAJI: Utabiri wangu kuhusu Tuzo za Wachekeshaji Tanzania

    MIMI wala sio mtabiri, lakini natabiri; Tuzo za Vichekesho Tanzania zitajaa lawama kuliko tuzo zote zilizowahi kutolewa tangu tupate uhuru. Nitaeleza kwa nini lakini kwanza tukumbushane…

    Kishkaji Pict
  7. TUONGEE KISHKAJI: Hivi bado tunahitaji haya katika video?

    NATAMANI wasanii wangekuwa wanatengeneza video za ngoma zao au angalau baadhi ya video za ngoma kama Dizasta Vina. Simpo, lakini imejaa maana kubwa.

  8. TUONGEE KISHKAJI: Mwaka wa uchaguzi tuache wasanii wawe wananchi

    LEO tuongee kisiasa. Mwaka wa uchaguzi ndo huu umefika. Natabiri lazima kutakuwa na mijadala mitandaoni na vijiweni kuhusu wasanii wanaojihusisha na siasa.

    Kishkaji Pict
  9. TUONGEE KISHKAJI: Wakazi nakukataa, nasimama na vyombo vya habari

    HAPO majuzi, rapa Wakazi (naamini mnamfahamu) aliachia ngoma ambayo ni Diss Track kwenda kwa Roma Mkatoliki (bila shaka mnamjua pia). Ngoma inaitwa Fall of Roman Empire. Wakati huohuo, wiki...

  10. TUONGEE KISHKAJI: Kwenye ung’eng’e Alikiba amecheza kama Pele

    ALIKIBA alikuwa anahojiwa na media moja ya kimataifa na Mtangazji wa Kikenya. Katika mahojiano hayo Alikiba aliulizwa swali kwa kiingereza. Naye alijibu kwa kiingereza kwa sekunde chache hivi...

    Kishkaji Pict
Previous

Page 3 of 20

Next